Ungekuwa mkiristo ungeyajua maandiko haya.Mimi ni mkristo lakini sioni kero yeyote kwa uchaguzi kufanyika jumapili. Watu wanapiga kura kisha wanaenda ibadani. Wengine wanaenda ibadani kisha wanaenda kupiga kura.
kuna shida gani hapo?
pole sana. hujitambuitusiendekeze upumbavu huu sababu ni nini? kama yeye anakusanya sadaka si afungue asubuhi kanisa saa moja au aanze ibada saa tisa. mimi siafiki, na waisilamu nao waseme tusifanye uchanguzi ijumaa, hii ni vurugu, tusiendekeze pumba hizi
Mimi ni mkristo lakini sioni kero yeyote kwa uchaguzi kufanyika jumapili. Watu wanapiga kura kisha wanaenda ibadani. Wengine wanaenda ibadani kisha wanaenda kupiga kura.
kuna shida gani hapo?
tusiendekeze upumbavu huu sababu ni nini? kama yeye anakusanya sadaka si afungue asubuhi kanisa saa moja au aanze ibada saa tisa. mimi siafiki, na waisilamu nao waseme tusifanye uchanguzi ijumaa, hii ni vurugu, tusiendekeze pumba hizi
Akishamaliza kupiga deal ya tisheti anachukua zake pipa mpaka Marekani.
wajinga ndio waliwao...
Safi sana Wamechangia pato la TaifsTisheti moja iliuzwa kwa bei gani? Hapo ni biashara kama kawaida.
Akishamaliza kupiga deal ya tisheti anachukua zake pipa mpaka Marekani.
wajinga ndio waliwao...
enquire abt cost before priceTisheti moja iliuzwa kwa bei gani?
Hapo ni biashara kama kawaida.
tusiendekeze upumbavu huu sababu ni nini? kama yeye anakusanya sadaka si afungue asubuhi kanisa saa moja au aanze ibada saa tisa. mimi siafiki, na waisilamu nao waseme tusifanye uchanguzi ijumaa, hii ni vurugu, tusiendekeze pumba hizi
Kumtolea Mungu huongeza baraka .Tisheti moja iliuzwa kwa bei gani?
Hapo ni biashara kama kawaida.
Kumtolea Mungu huongeza baraka .
Nani atalinda kura dhidi ya panya road ?Mimi ni mkristo lakini sioni kero yeyote kwa uchaguzi kufanyika jumapili. Watu wanapiga kura kisha wanaenda ibadani. Wengine wanaenda ibadani kisha wanaenda kupiga kura.
kuna shida gani hapo?
Na tunaosali jumanne,j5 na j3 inakuwaje?
afadhali umeMoja kwa moja wewe sio mkristo.
Katika hali hii unaweza kupiga kura halafu ukaenda ibadani.??
Hapo kwenye foleni ndefu namna hiyo utaweza kuwahi kweli.??
iliuzwa bei sawa na hizi. business as usual!Tisheti moja iliuzwa kwa bei gani?
Hapo ni biashara kama kawaida.