Kumekuwa na idadi ndogo sana kwa Wapiga kura kujitokeza kwenye Uchaguzi kutokana na siku ya Kupiga kura kupangwa Jumapili.
Tangia Mwaka jana wapo Wanasiasa akiwepo Deus Kibamba alishauri Serikali kupitia Tume Ya Uchaguzi kupuka kupanga siku ya kupiga kura Jumapili na badala yake kupendekeza Jumatatu ambayo hakuna imani inayo athirika.
Sasa pamoja na juhudi hizi Serikali imekuwa Kiziwi na Uchaguzi mwaka huu upo Tarehe 25/10/2015 ambayo ina angukia siku ya Jumapili.
Maoni yangu mimi kwa wale ambao wanapinga uchaguzi kufanyika siku ya Jumapili wasije wakasusa mwaka huu badala yake nawashauri kwa dhati jitokezeni kwa wingi kujiandikisha kwenye BVR harafu tarehe 25/10/2015 achaeni kabisa ibada tumung'oe mkoloni!!
Nimefurahi sana msimamo huu kwa watu wa Kagera ambapo wameleta msiamiati wa kumung'a mkoloni
Hii mada imekaa kiudini udini futa delete kabisa mods