Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Kuna mambo ukiona yanajirudia ni vizuri kujiuliza ili kujifunza. Wana JF tusaidiane.
Enzi za uhai wake tulimwona Hayati John Pombe Magufuli akinywa kahawa na vijana wake huko Chato. Hivi majuzi akiwa ziarani Singida tukaoneshwa picha Rais Samia Suluhu Hassan naye akiwa na kina mama katika kijiwe cha kahawa lakini yeye hakuonekana akinywa wala kina mama wale.
Swahiba wa Magufuli Paul Makonda naye baada ya kuteuliwa kuwa MC wa CCM naye huko Dodoma kaibukia kijiwe cha kahawa akiwa na baadhi ya wanachama wenzake wakiigiza kunywa kahawa.
Nini kilichojificha nyuma ya kahawa? Wanataka ku-win kitu gani? Huku siyo kuwahadaa vijana hawa?
Nini maoni yako!?
Enzi za uhai wake tulimwona Hayati John Pombe Magufuli akinywa kahawa na vijana wake huko Chato. Hivi majuzi akiwa ziarani Singida tukaoneshwa picha Rais Samia Suluhu Hassan naye akiwa na kina mama katika kijiwe cha kahawa lakini yeye hakuonekana akinywa wala kina mama wale.
Swahiba wa Magufuli Paul Makonda naye baada ya kuteuliwa kuwa MC wa CCM naye huko Dodoma kaibukia kijiwe cha kahawa akiwa na baadhi ya wanachama wenzake wakiigiza kunywa kahawa.
Nini kilichojificha nyuma ya kahawa? Wanataka ku-win kitu gani? Huku siyo kuwahadaa vijana hawa?
Nini maoni yako!?