- Thread starter
- #41
Mapolomoko hicho ndicho nilichokielewa pia. I second you.
Mapolomoko kanielewa vizur sana yaani watu wamenyeshewa na zile mvua zilizonyesha mfululizo mpaka wakapata nimonia wakajikusanya waweze kupata walau vibati he mara barua eti kwann mmeweka bati pasi na kibali?......mwenye nacho anaongezewa na mwenye kile kidogo ananyang"anywa
Hii Tanzania hii......
Last edited by a moderator: