Kuna sheria kua ukibadili paa la bati lazima utoe taarifa?

Kama nimemsoma vizuri mleta mada ni kwamba katoa bati za "kibongo" kaweka za "msouth" the same roofing materilas.

Manispaa watajiridhisha vipi kama hakutakuwa na mabadiliko bila ya kuhusishwa kabla.. call it sheria mbaya au nzuri ndo ilivyo..
 
Mkuu ujenzi wa nyumba una masharti mengi.. Kwa kifupi ili ujenge nyumba inabidi upate kibali toka manispaa ya wilayani kwako baada ya wewe kuwasilisha michoro ya ramani ya nyumba yako iliyo na mhuri wa consultant firm inayotoa architectural services..
Vile vile ziko sheria za miji ambazo zinakulazimisha kuomba kibali manispaa unapotaka kubomoa nyumba au jengo.. Vile vile zinakulazimisha kuomba kibali manispaa unapotaka kuzungushia ukuta sehemu unayotaka kubomoa..

Kwa hiyo unapotaka kufanya marekebisho yeyote kwenye nyumba ambayo ina michoro iliopata kibali unapaswa kutoa taarifa manispaa..
Tatizo hapa ni nyumba nyingi hapa kwetu hazijajengwa kwa misingi hiyo.. Ikiwa ni pamoja na hiyo..
Na watendaji wa mitaa ndo wana-act kama enforcers wa sheria hizo.. Imegeuzwa miradi wa kujipatia fwedha..

jamani haya mambo yapo ila dar labda kwa viwanja vilivyopimwa ila uswahilini kwetu hivyo vitu kutaftana ubaya tu!
 
Kama nimemsoma vizuri mleta mada ni kwamba katoa bati za "kibongo" kaweka za "msouth" the same roofing materilas.


Ahsante kwa kunielewa mkuu
Nchi ngumu sana hii yaani kubadili bati tu tena bati baada yakua zimeoaza na kuvuja sana wakabadili basi imekua shida lolz
 
jamani haya mambo yapo ila dar labda kwa viwanja vilivyopimwa ila uswahilini kwetu hivyo vitu kutaftana ubaya tu!

Mkuu sheria ina-apply mpaka uswahili.. wana uwezo wa kuzuia ujenzi kokote.. sema tuu kibongobongo wa2 wanaipotezea..
 
Unapo design jengo unaconsider weight of the roof na hii inatokana na material inayotumika.
kwa mfano leo mtu mchoro wake unaonyesha utakuwa ni paa la kawaida lenye bati na na kibali kinatolewa hivyo.Haiwezekana kesho ukabadilisha roof ukasema itakuwa ni ya zege.kwa kukwepa hili mamlaka husika wanakutaka uombe kibali ili wajiridhishe kama hakuta kuwa na tatizo.refer majengo ya Kariakoo yaliyobomoka
 
jamani haya mambo yapo ila dar labda kwa viwanja vilivyopimwa ila uswahilini kwetu hivyo vitu kutaftana ubaya tu!


Umeona eeh? Yaani waswahili ukipata tu basi imekua nongwa ila wakati wanavujiwa hawakupewa msaada kutoka kwahio serikali yao kua chukueni bati hizi msivujiwe
 
Umeona eeh? Yaani waswahili ukipata tu basi imekua nongwa ila wakati wanavujiwa hawakupewa msaada kutoka kwahio serikali yao kua chukueni bati hizi msivujiwe
nimekuuliza michoro ya awali mliomba kibali manispaa
 
Unapo design jengo unaconsider weight of the roof na hii inatokana na material inayotumika.
kwa mfano leo mtu mchoro wake unaonyesha utakuwa ni paa la kawaida lenye bati na na kibali kinatolewa hivyo.Haiwezekana kesho ukabadilisha roof ukasema itakuwa ni ya zege.kwa kukwepa hili mamlaka husika wanakutaka uombe kibali ili wajiridhishe kama hakuta kuwa na tatizo.refer majengo ya Kariakoo yaliyobomoka



Umesomeka mkuu
 
nimekuuliza michoro ya awali mliomba kibali manispaa


Mkuu sio nyumba mpya kusema ilijengwa jana au juzi ni kuu kuu nabati zilishaoza although ilishapimwa miaka mingi sana ilopita
 
Habari zenu wakubwa

Samahanini nina ndugu yangu anaishi Tabata maisha yao yahali yachini sasa wamejimake make wakabadili bati wakaeka msouth
Cha kushangazwa eti wameletewa barua waende kujieleza ofisi ya serikali ya mtaa kua kwanini wamebadili paa la nyumba bila ruhusa kutoka serikali ya mtaa.jamani kuna sheria Iyo kweli? Yaani walikua wanavujiwa nasasa wamerekebisha nyumba imekua tatizo
Naomba mnifahamishe wasomi je kuna sheria Iyo?kua ukibadili paa labati lazma utoe taarifa?

Rushwa tuu wanataka hao yapaswa ukiwapa wakupe na engineer wa kuisimamia kazi yako
 
sosoliso huyu bwana anasema katoa bati linalovuja na kaweka ambalo halivuji. Tunazungumzia bati siyo paa.
 
Last edited by a moderator:
Unapo design jengo unaconsider weight of the roof na hii inatokana na material inayotumika.
kwa mfano leo mtu mchoro wake unaonyesha utakuwa ni paa la kawaida lenye bati na na kibali kinatolewa hivyo.Haiwezekana kesho ukabadilisha roof ukasema itakuwa ni ya zege.kwa kukwepa hili mamlaka husika wanakutaka uombe kibali ili wajiridhishe kama hakuta kuwa na tatizo.refer majengo ya Kariakoo yaliyobomoka

Kuwa muelewa. hajasema kabadili ramani ya nyumba bali kabadili bati. kumbika hata ktk ramani hawaandiki utumie bati za kampuni furani, bati ni bati chaguo ni lako, Simba dumu, Kiboko, Utamu,Maisasha, Tembo, Msauzi yote ni mabati.
 
Kuwa muelewa. hajasema kabadili ramani ya nyumba bali kabadili bati. kumbika hata ktk ramani hawaandiki utumie bati za kampuni furani, bati ni bati chaguo ni lako, Simba dumu, Kiboko, Utamu,Maisasha, Tembo, Msauzi yote ni mabati.


Mkuu pokea bonge la LIKE.......yaani umenielewa vizuri sana
Hii nchi ngumu sana Aisee.....Nashukuru kwa kunielewa!!!!!!!!
 
Unapo design jengo unaconsider weight of the roof na hii inatokana na material inayotumika.
kwa mfano leo mtu mchoro wake unaonyesha utakuwa ni paa la kawaida lenye bati na na kibali kinatolewa hivyo.Haiwezekana kesho ukabadilisha roof ukasema itakuwa ni ya zege.kwa kukwepa hili mamlaka husika wanakutaka uombe kibali ili wajiridhishe kama hakuta kuwa na tatizo.refer majengo ya Kariakoo yaliyobomoka

Kuwa muelewa. hajasema kabadili ramani ya nyumba bali kabadili bati. kumbika hata ktk ramani hawaandiki utumie bati za kampuni furani, bati ni bati chaguo ni lako, Simba dumu, Kiboko, Utamu,Maisasha, Tembo, Msauzi yote ni mabati.
 
Back
Top Bottom