John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
nataka mtu anichukie ila sipatagi
Kumbe wabeba mabox mnafahamiana!upo mbeba box chairman.kesho bwana
Hajaaanza kukupenda penda? You are So lovable you know...lol... Please tell...
Karibu kwangu maana ndo na log off kwenda kupika...lol,,,, Nipo na King'asti lakini mtegezi ile mbaya!:biggrin:
Kua na Jioni njema Happuch....
Asante my dear...ngoja niwahi nije nikusaidie bana..........tuachane na kupiga story hapa!. THANKS DEAR.
Wakati mnapendana/elewana mbona hukutoa taarifa?
Kazi yenyewe unasema ya laki tano duu, tuseme labda shiing ngapi ndo wewe unaanzia kumfikiria mtu angalau?anataka mapenzi ndo anipe hiyo job kazi yenyewe ya laki tano mpuuuzi kweli.halafu huku anajifanya mstaarabu.
SL,nimesibiri hiyo hasira weeeee mpaka kumekucha,kulikoni?saa moja sasa ya kesho yake!Nna hasira zako, uncheki nikukabidhi kabla giza halijazidi..
Mi nimeona nikae tu kimya! siku hiz nimekuwa mpolee!!Rejao kazi unayo hapa mie mpambe tu......
Saikolojia ya binadamu inasema hivi, the more you think u hate someone/something is the more you think about it or you pull yourself close to it, the more you pull close to it you will start seeing the positive side of it and thats when you will find yourself loving it. Ila sipendi itokee hivyo coz you know why............Kiukweli na malaika ni mashaidi mimi ni mtu wa upendo sana kwa watu ila kuna mtu humu yaani amenikaa kooni i hate him with all my heart yaani nikiona id yake ,hata mapigo ya moyo yanaongezeka daah yaaani kweli moyo wangu umekaa nae vibaya kabisa
YUPO ONLINE KWA SASA NIMEMUONA MAHALI YAANI NAJISKIA KUZIMIA KABISA
yaishe geee usipende kuchimba chimba saaaana.ila ndo ukweli huo i hate him
sijui nifanyeje nisimuone maana nachoka kabisa