mmmh, naona atu hapa wapana wa maneno kama pazia la leba.
Ngoja nisepe, leo naupako wa Siasa za MMU.
mmmh, naona atu hapa wapana wa maneno kama pazia la leba.
Ngoja nisepe, leo naupako wa Siasa za MMU.
hehehe kamanda uchune tu bana! Hata Lawyer nishashtukizia hii movie inayochezwa hapa. JF bana lolNot necessarily true. And you know it. rite?
Hivi ile id yako ingine si inaanzia na T?Not necessarily true. And you know it. rite?
hehehe kamanda uchune tu bana! Hata Lawyer nishashtukizia hii movie inayochezwa hapa. JF bana lol
Hivi ile id yako ingine si inaanzia na T?
Haya maneno ni kazi ya babu ODM nini Kongosho lol
hehehe Kongosho huwa anasemaga mbwa wako asipobweka bweka mwenyewe, na hili ndio funzo tunalopata kwenye hii sredi.hahaha poa kamanda....LOL JF zaidi ya ujuaovyo
vipi wkiend..umeona Baga anakula mdudu kwa mama Kamche?
hehehe kamanda uchune tu bana! Hata Lawyer nishashtukizia hii movie inayochezwa hapa. JF bana lol
Hao majirani wanaolala mtumbo wazi ni jinsia gani?mwache aseme
ya nini kuwalaza majirani matumbo wazi?
hehehe Kongosho huwa anasemaga mbwa wako asipobweka bweka mwenyewe, na hili ndio funzo tunalopata kwenye hii sredi.
Wikiend ipo shwari kamanda namsubiria Lizzy apa tukakamalize kale ka fifty sauzend ka superman
Lahaulake na me
Mh, jibu lako lina utata!...lolhahaha,,,sikubali wala sikatai SL. LOL:sleepy:
Lahaula
nakuona umepewa lift na ODM kwenye ile hela, sasa unapiga honi na kukata kona.
Loya wewe ni noumer, hadi unaalika na watu.
Namwambia tukuchenge.
Halaf hii si lugha ya wauza chips kweli?Weka source basi.