Jux...gender plz
Kongosho.
Huifikii yangu kongosho lol.ha ha ha ha,
Mamdenyi umejuaje?
Avatar yangu iko so sexy lazima adate tu.
Hehehe!Sweetlady hapana bwana yeye huyo ni mwanaume...
We BAGAH koma!
Unataka jf imwage damu au?
No Mamndenyi sio Kongosho...
sio nitonye kweli?
Nimeshakamatwa mimi sina ujanja kila application lazima zipitie kwa Sweetylady
Sweetlady hapana bwana yeye huyo ni mwanaume...
he he he, SL ana nguvu kama njaa
maana hata mwanamieleka au baunsa akiwa na njaa hana nguvu tena.