Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
- Thread starter
- #21
Sioni ni kwa vipi UWT wangetumia mbinu dhaifu hivyo kuiangamiza JUMIKI. Tumewaona kwenye vyombo vya habari waandamanaji wa JUMIKI wakichoma matairi barabarani na kuziba barabara. Why should that happen?
Kuchoma matairi barabarani siyo sawasawa na kuchoma makanisa ambayo inasemekana yalichomwa usiku.