Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
ndugu yangu Marshal ES sio Neema , umechemka sitaki kwendambali zaidi but jina yake si neema .
Unachemka sana, nyamaza tu, sio mbaya!Fisi ha! Ha! Leo mkuu ni kujichezea ngoma yako mwenyewe, Undugunization upo kote so hakuna mwenye moral authority wote wabovu I mean BOT, UBALOZI na Bunge tusafishe kote bila kuoneana mnaonaje na tuwe na sheria on that au! Ha! Ha! Tuwache Majungu na kuchafua majina ya wananchi! - Le Baharia
Basi baba utaua!!ww si ulisema hakuna ndugu yoyote ubalozini?
Mbona umebadilika?
Endelea kubisha halafu niweke result yako ya pale Kwiro sec Morogoro. Na jinsi ulivyopata nafasi ya kusoma Kwiro.
Nakushauri kuwa mpole mkuu kuepuka aibu.
MWAKIKAGILE ni Mzee mmoja yupo Michigan alikuja kusoma US in the 70s, mpaka leo hajawahi kurudi Bongo wala kuwasiliana na Familia yake, yeye yumo hapa JF kwa majina mengi ya bandia na amekuwa akinitukana kwa muda mrefu sasa kama leo akinihusisha na majina yasiyo nihusu ndio maana leo nimempa kamba yake mwenyewe na amejifunga nayo.
Maana ndugu zake wote wapo hapa ila walikuwa hawajui kuwa yupo hapa na ndiye anayewatukana na Details nyingi za ndani za familia Yake ni Msomi mkubwa sana lakini the way anavyo behave humu JF hasa kutukana ndugu zake huenda ana some serious ishus! Ha! Ha! MWAKIKAGILE nitukane tena na maneno ya Field Marshall na ndugu yako This is Mutuz Le Baharia On The Run! MERCI!
Wewe nae bana, sipendi watu waliopofushwa na UCHAMA na UDINI, wananikera kweli maana hawafikiri nje ya box. Badala ya kuzungumzia suluhu dhidi ya tatizo la ajira za kujuana, unakuja na mambo ya kidini, upuuzi mtupu! Tanzania haitakuwa nzuri mpaka watu kama wewe mbadilike!
Mpatanishi sikukimbia Shule, CV yangu ipo wazi Facebook, hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari sijawahi kukimbia topic, Mkapa hana mtoto ubalozi wowote, tatizo la undugu ni Vyama vyote, kama nilivyokuruhusu say anything on me lakini muache majungu, mimi sifanyi serikalini wala huku majuu sijasomeshwa na serikali! - Le Baharia On The Run!
With all due respect i have brother Will le baharia.........kwa bandiko lako hili napingana na wewe kwa kiasi cha 100%, na sijaona relation ya post hii ya huyu ndugu na CHADEMA...Why and fpr what reason? kwanini umefanya attack as if u had something in your heart for so long? Halafu itakuwa ni kuuongopea umma kwamba tuhuma hizi hazina ukweli, la hasha.....Mkapa anaweza asiwe na ndugu yeyote kwenye balozi zetu lakini haimaanishi wala haifuti ukweli wa kwamba kuna kujuana, kupeanan na ushahiba mwingi sana katka issue nzima za ajira na hasa pale palipo na maslahi manono.....tumesoma nao, kunaishi nao we all know the whole truth.....acha defensive mechanism bana kama kutaka watu wasichungulie upande wa familia yako. Umeni put off mbaya sana kwa comment yako ambayo ki ukweli haina chembe ya utu uzima, ukomavu wa kujadiri hoja wala umakini wa kujua position yako. Iam sorry to say so, lakini that is the truth brother.Hakuna mtoto wa Mkapa Ubalozi wetu wowote Duniani Mkapa ana watoto Wawili Steve na Nico wapo Bongo, na hawapo Ubalozi wowote hapo Bongo Umekurupuka, nenda Bungeni uone Viongozi wa Chadema na ndugu zao wote ni Wabunge, Halafu uje utueleze hivi Chadema ilibidi Mwenyekiti lazima awe Mkwe wa Mtei tu? Hakukuwa na wengine? Wacheni kuchafua Majina ya watu. - William
WEWE unadhani kila anaeleta hoja ya kuibua jambo ambalo lina walakini kuhusu maamuzi ya serikali kiutendaji basi yumkini mtu huyo ni wa CHADEMA?shame on u!u can't think and analyze objectively?ur groundless attack on CHADEMA indicates how huwezi kujibu hoja kwa hoja.inaonekana ukiambiwa mtoto wa waziri fulani kakutwa na magendo ya nafaka na kutumia influence ya 'BABA' cha kwanza kufikiri na kujiuliza ili kuchangia hoja ni ''kwani ni mtoto gani wa waziri yeyote kivuli wa CHADEMA nae kakamatwa na magendo yeyote?''ndiyo maana hatuwataki watu waliolelewa na siasa za kulalamika badala ya kufikiri na kuchunguza tatizo halisi ni nini,moja.pili suluhu ni nini.
Huyu bila kumkejeri Nyerere papa linamuwasha.Udugunaizeshen ulimshinda Nyerere na kama haujafanyiwa kazi hautakwisha leo wala kesho. Watu waajiriwe kwa vigezo vya taaluma zao na kupasi "interviews" kihalali. Interview zisifanywe na wizara, idara au taasisi husika. Kampuni zinazo "specialize" mambo ya kuajiri, zipewe vigezo nazo ndio ziwe watahini wa waajiriwa. Na watapo ajiri mtu "incompetent" walipie gharama zote.
Nioneshe ni kipi nilichomkejeli hapo?Huyu bila kumkejeri Nyerere papa linamuwasha.
Well, waste of time na wacheni kuchafua majina ya walalahoi wanaojitafutia riziki na familia zao, anzieni huko kwenu kwanza mruhusuni Zitto kugombea Uenyekiti ndio mtakuwa na Moral authority on this ishu, hapa mmedata! Chairman Mao alisema No research no right to speak! - Le Mutuz
Mpatanishi sikukimbia Shule, CV yangu ipo wazi Facebook, hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari sijawahi kukimbia topic, Mkapa hana mtoto ubalozi wowote, tatizo la undugu ni Vyama vyote, kama nilivyokuruhusu say anything on me lakini muache majungu, mimi sifanyi serikalini wala huku majuu sijasomeshwa na serikali! - Le Baharia On The Run!
kumkejeri = kumkejeli