mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Kuna harufu ya kujuana kwenye balozi zetu
Katika pita pitayangu kwenye vyombo vya habari nilikuta na kitu kilichonistua kidogo kiasi chakujenga shaka na ajira za watanzania walioko kwenye balozi zetu nchi mbalimbali. Katika matukio mawili kwenye habari nilikutana na majina makubwa matatuharaka haraka. Hii ilinifanya nijiulize: je wapo watoto wa ngapi wa vigogokwenye balozi zetu nje ambapo bila shaka wanalipwa vizuri? Je wameteuliwa aukuajiriwa kwa sifa za kitaaluma au kujuana au vyote?
Majina makubwa matatu niliyopambana nayo ni kwenye balozi mbili tu yaani ule wa Umoja wa Mataifa naubalozi wa Tanzania nchini Kanada.
Majina haya ni ya New York Rose afisautawala wa ubalozi mkapa jina la familia ya rais mstaafu Benjamin Mkapa
Ottawa Canada, Richard tibandebage, afisaubalozi, mtoto wa Balozi wa zamani wa Tanzania nje kwa muda mrefu
Joseph sokoine,naibu balozi, mtoto wa waziri mkuu wa zamani.
Salome Sijaonabalozi Japan, Lawi Nangwanda Sijaona alikuwa mmojawapo wa mawaziri wa mwanzo
Jaka Mwambi nibalozi Urusi huku
Adadi Rajab nibalozi Zimbabwe
Katika pita pitayangu kwenye vyombo vya habari nilikuta na kitu kilichonistua kidogo kiasi chakujenga shaka na ajira za watanzania walioko kwenye balozi zetu nchi mbalimbali. Katika matukio mawili kwenye habari nilikutana na majina makubwa matatuharaka haraka. Hii ilinifanya nijiulize: je wapo watoto wa ngapi wa vigogokwenye balozi zetu nje ambapo bila shaka wanalipwa vizuri? Je wameteuliwa aukuajiriwa kwa sifa za kitaaluma au kujuana au vyote?
Majina makubwa matatu niliyopambana nayo ni kwenye balozi mbili tu yaani ule wa Umoja wa Mataifa naubalozi wa Tanzania nchini Kanada.
Majina haya ni ya New York Rose afisautawala wa ubalozi mkapa jina la familia ya rais mstaafu Benjamin Mkapa
Ottawa Canada, Richard tibandebage, afisaubalozi, mtoto wa Balozi wa zamani wa Tanzania nje kwa muda mrefu
Joseph sokoine,naibu balozi, mtoto wa waziri mkuu wa zamani.
Salome Sijaonabalozi Japan, Lawi Nangwanda Sijaona alikuwa mmojawapo wa mawaziri wa mwanzo
Jaka Mwambi nibalozi Urusi huku
Adadi Rajab nibalozi Zimbabwe