Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,815
- 11,129
1994-1996 alimaliza B.A ina maana alikuwa anachukua"madarasa(credits)60 kwa mwaka?Maana B.A kule USA ni "madarasa(credits)at least 120 kumaliza!
EDUCATIONS School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level Waldorf University College (U.S.A) BA. (Business Administration) 1994 1996 GRADUATE Wartburg University College (U.S.A) BA. (International Business) 1997 1998 GRADUATE
Miaka 2 ninachojua mm unaweza maliza associate degree;anyway nipo tayari kufundishwa na akina Nyani Ngabu ilikuaje mwenzetu asome degree ya credits zaidi ya 120 kwa miaka 2 tu!!
(Hapo sijaweka masomo kama vile English 0301 hasa kama nchi unayotoka"english is second language"huwa wanabanwa kuyachukua;USA history 1 & 2;USA Government 1& 2 na mengine mengi yasiyotakiwa kwenye majors)