Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 507
Acheni ulimbukeni hii ni nchi huru na kila mtanzania mwenye sifa anaweza kutangaza nia. Ndio maana hatuendelei kwa sababu ya wivu wa kijinga (refer ben m.) Anayebisha na atangaze nia yeye basi kuliko kumnanga Nyalandu. Nyalandu is my best role model and I wish I could see him and wish a clear path to Magogoni. Shtaip!