KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Mdau hiyo ya yeye kusema eti Marekani inamtaka awe rais wa Tanzania haina ukweli wowote, hizo ni fitna za siasa za kishamba za watu wa kizazi cha TANU YOUTH league ambao wengi walikua wanaombea Nyerere afe ili waivuruge nchi,sasa wakiwaona vijana wa kizazi kipya cha siasa za Tanzania ambao wana lengo la kuirejeshea heshima nchi yetu kama enzi za baba wa taifa wanaanzisha hizi siasa zao za maji taka, namaanisha kufanya siasa za PERSONALITIES na kuacha siasa za ISSUES na Nguvu nyingi kuzipeleka katika kanuni ya Character assasination ambayo kwa muda mrefu imeiumiza sana hii nchi na kuifikisha hapa ilipo, kwa kuwanyima fursa kwa hila tu watu wenye mawazo mbadala ya kuipeleka hii nchi mbele, nadhani wengi mnazo kumbukumbu kwa kilichowahi kumtokea mzee wetu salim A. Salim, ni siasa hizo hizo leo wanazileta kwa Nyalandu baada ya kumuona ni tishio kwao kwa sasa, tuachane na siasa hizo za kishamba watanzania, country needs integrity and leaders who seek justice and development!Wataalamu wanasema jamaa hakumaliza degree yake.....
Naona huyu choko ameubip urais ..tu ..kashaambiwa sio raia...au ana dual citizenship...nadhani huu ni mjadala mzuri....,watu wenye dual citizenship kama katiba ikija kuwaruhusu ni muhimu tukawwawekea mipaka ....ie hawezi kuajiriwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, anaweza kuwa mbunge [lakini hatateuliwa uwaziri au kuhudumu kwenye kamati nyeti bungeni]...na kwenye vyama hataweza kuwa kiongozi mkuu wa chama........ni vigumu kuwa na rais mwenye double loyalty...no wounder huyu Nyalandu ..amekosea sana ...badala ya kusema kuwa wananchi wa Tanzania wameniomba nigombee urais ...anasema Wamarekani wameniomba nigombee urais !!! basi akagombee huko ..tena mwaka huu kuna uchaguzi labda kama amechelewa primaries...........
ameniudhi sana ..binafsi nilikuwa nikimuona kama presidential material ...lakini sijui kwanini empathy yangu ilikuwa ikinituma kuwa ni CIA recruit.......for which he can't even stand...there vetting kwa uropokaji wake........
Sasa nadhani intelligence wamemrushia kapu.......sijui hili anajisafishaje ..labda ...JK Ambebe!!!