Kuna anaefahamu kuhusu ujumbe huu

tifa

Member
Apr 19, 2011
53
5
, TAHADHARI,Leo usiku saa 6.30 to 9.30 miale ya cosmo itaingia duniani kutoka sayari ya mars.Hivyo zima simu yako usiku na iweke mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni miale hatari,chanzo cha habari ni BBC NEWS tafadhali wape taarifa wengine.siyo sms ya kutunga ni kweli kabisa wametangaza. UJumbe huu mimi nimetumiwa tu Na wewe chukuwa taadhali huku ukIfanya utafiti.
 
, TAHADHARI,Leo usiku saa 6.30 to 9.30 miale ya cosmo itaingia duniani kutoka sayari ya mars.Hivyo zima simu yako usiku na iweke mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni miale hatari,chanzo cha habari ni BBC NEWS tafadhali wape taarifa wengine.siyo sms ya kutunga ni kweli kabisa wametangaza. UJumbe huu mimi nimetumiwa tu Na wewe chukuwa taadhali huku ukIfanya utafiti.

waambie ndugu zako
 
Ha ha ha na mie nilishawah kutumiwa hiyo msg niliiwekaje cm kwenye droo cku iyooo
 
Dah imerudi tena hiyo msg ? Me nilitumiwaga two years na dah niliogopa kinoma hadi simu nikaizima, nikatoa betri na kuifungia kwny droo kila kitu separately. Sijajua lengo la wanaotuma hz text huwa ni nn but TCRA inabd wawe makini kwa sababu next tym inaweza ikawa kuna tukio kweli linatokea but kutokana na huu upuuzi watu wakapuuzia.
 
Dah imerudi tena hiyo msg ? Me nilitumiwaga two years na dah niliogopa kinoma hadi simu nikaizima, nikatoa betri na kuifungia kwny droo kila kitu separately. Sijajua lengo la wanaotuma hz text huwa ni nn but TCRA inabd wawe makini kwa sababu next tym inaweza ikawa kuna tukio kweli linatokea but kutokana na huu upuuzi watu wakapuuzia.
Kampuni za simu zinatengeneza pesa,MSG kwa saa moja tu ni mshahara wa kampuni nzima na 10% ya TCRA,bongo shamba la bibi
 
Kampuni za simu zinatengeneza pesa,MSG kwa saa moja tu ni mshahara wa kampuni nzima na 10% ya TCRA,bongo shamba la bibi

Mkuu huo ndio ukweli makampuni ya cm yana njia nyingi za kujipatia fedha nyingi kutoka kwa watz wapumbavu ambao ni wavivu wa kufikiri!! Fikiria msg hy ya kutunga moja inatumwa kwa mtu mmoja alafu yy kwa kutokufikiri anaanza kusambaza ujinga; 40shs per sms x watu laki moja utapata jibu mmeliwa ngapi!!!
 
Mwenyewe jana niliupata tena karibu itumie saa 6:30 usiku. Nilizima simu zote na za mwenzangu. Nikawahi kuzima na wanayoitumia watumishi. Kweli sasa unaona hiu sms mbaya maana majambazi yanaweza kukutumia ili kukupumbaza. Sema tu akiingia jambazi wala hutakumbuka mionzi ni kutuangia tu majirani. Liwalo na liwe.
 
, TAHADHARI,Leo usiku saa 6.30 to 9.30 miale ya cosmo itaingia duniani kutoka sayari ya mars.Hivyo zima simu yako usiku na iweke mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni miale hatari,chanzo cha habari ni BBC NEWS tafadhali wape taarifa wengine.siyo sms ya kutunga ni kweli kabisa wametangaza. UJumbe huu mimi nimetumiwa tu Na wewe chukuwa taadhali huku ukIfanya utafiti.
Huo ni wizi tu wa makampuni ya simu, kuwachuna waTZ kupitia sms!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom