daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 866
mfano vunja kile kisanduku chako unachoweka vi mia mia, lakini ukimwambia direct hivi kwamba vunja hicho kisanduku hupati ng'o bora useme indirect kama ambavyo umesema hapo juu!Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe 'fanya maarifa' au ufanye maarifa basi'.......
Hivi hili hasa linaamaanisha nini?
Maarifa gani ambayo mwanaume akishindwa, mwanamke ndo ataweza?
Halafu unakuta mwanamke 'anafanya kweli maarifa' na maisha yanakwenda...
Sasa 'haya maarifa' ya wanawake ni yapi?