Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
Samahani sana Ms. Judith, ingawa moyoni ninalijua hilo, lakini kwa mazowea kwenye keyboard mikono ya ilipata kigugumizi.
Asante sana kwa kutukumbusha.
Mungu akulinde muda wote na ubarikiwe sana mpendwa.
mpendwa Mammamia,
asante sana na please take easy. hakuna kabisa haja ya samahani!
niliona tu kuwa ni muhimu kuwekana sawa pale manake mtu anawezatuma mfano PM kwenda Miss Judith na kumbe mtu mwingine akawa tayari kajisajili na hiyo ID na mimi siitumii tena!!
enjoy your weekend mpendwa
ubarikiwe sana
Glory to God!