Mwanantala
Senior Member
- May 13, 2010
- 130
- 26
Naombeni mwongozo juu ya mada hii.
Nina mtoto anamaliza darasa la sita ktk shule inayotumia kiingereza. Uwezo wake kimasomo ni mkubwa.
Naomba ushauri wenu.
Nina mtoto anamaliza darasa la sita ktk shule inayotumia kiingereza. Uwezo wake kimasomo ni mkubwa.
Naomba ushauri wenu.