Kumtukana Rais Samia hadharani ni uhaini

Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Kigego anazingua sana. Huwezi ukaiingiza nchi kwenye makubaliano ya kitaahira vile.
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Kuuza nchi na bandari zote reli ....huo unaitwaje
 
Kama dini yake inamtuma kuuza nchi yetu acha atukanwe
KADA Naona umevurugwaa
IMG-20230709-WA0004.jpg
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Kujikomba 😕
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Na hii mikataba isiyo na maslahi kwa taifa pia ni uhaini.
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Tumekuelewa mkuu ila pia je kwa mfano wewe ni raisi mwenye kauarabu kwa mbali, je kugawa rasilimali za taifa kwa wajomba waarabu, je hii ni nini ?!!
 
Wakifanya hilo hitaji la moyo wako ndiyo majibu kuhusu mkataba na DP World yatakuwa yamewafikia wananchi?Ukipewa changamoto unapaswa uikabili positively na siyo kuanzisha ugomvi.Utaonesha kuwa hauna nia njema tena.Hoja kwa hoja.Siyo hoja kwa risasi.
Hoja kwa hoja ni sawa, ila sio hoja kwa matusi,
Tatizo wengi wanamtukana mh rais matusi ya nguoni, hivi hata kma unadai ni sahihi?
Serikali inasema mkataba bado, watu wamekazana nchi imeuzwa, ooh miaka mia, oooh milele halafu wanafatisha matusi ya nguoni kwa rais, hawa nina asilimia zote sio watanzania
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.


sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Lofa wewe kubabeki zako anatukanwa Baden-Powell rais wa dunia sembuse chief mangungo wa msovero na bogas treats zake
 
Hoja kwa hoja ni sawa, ila sio hoja kwa matusi,
Tatizo wengi wanamtukana mh rais matusi ya nguoni, hivi hata kma unadai ni sahihi?
Serikali inasema mkataba bado, watu wamekazana nchi imeuzwa, ooh miaka mia, oooh milele halafu wanafatisha matusi ya nguoni kwa rais, hawa nina asilimia zote sio watanzania
Ebu taja tusi moja la nguoni
 
Back
Top Bottom