PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,768
- 16,020
Kigego anazingua sana. Huwezi ukaiingiza nchi kwenye makubaliano ya kitaahira vile.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari