Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,951
- 56,073
Kuna jambo tunashindwa kuelewana.Utumiaji wa maneno na uchaguzi wa sehemu ya matumizi ni changamoto.Kuna maneno mimi nayatumia kwa ukawaida wake Ila wewe utadhani ni vinginevyo.Hoja kwa hoja ni sawa, ila sio hoja kwa matusi,
Tatizo wengi wanamtukana mh rais matusi ya nguoni, hivi hata kma unadai ni sahihi?
Serikali inasema mkataba bado, watu wamekazana nchi imeuzwa, ooh miaka mia, oooh milele halafu wanafatisha matusi ya nguoni kwa rais, hawa nina asilimia zote sio watanzania