Yan ananikera,najaribu kuangalia utaratibu wa kisheria,lazima nimchome tu huyu mama!
Yan ananikera,najaribu kuangalia utaratibu wa kisheria,lazima nimchome tu huyu mama!
Mama mmoja mwenye asili ya
Kondoa,ana binti msaidiz wa miaka 15,anamnyanyasa sana huyu
binti,anampiga mara kwa mara,na mbaya zaidi huwa anampa mtoto afuwe had
nguo zake za ndani,kwa kweli huu ni UNYAMA KABISA
Kuna mama wa Iringa nimewahi kuishi kwenye nyumba yake kimara kwa mara ya kwanza nilishangaa kuona housegirl anafua nguo za ndani za huyu mama siku za jumapili kamba nzima inajaa chupi zake.
tembele TAWLA.TAMWA afisa ustawi wa jamii,hii tabia ni mbaya,but haya ni madhara ya kuwa na wababa wasifit kuwa kichwa cha familia na wamama wanaopenda kuwa vichwa katka familia zao,nasema hivi kwa sababu hadi tatzo linaonekana nje ya nyumba(jiran mleta uzi)ni waz familia inaoungozwa na mtu dhaifu,tupatie ripoti ya hatua utakazochukua tafadhal!
kama vipi tafuta u.pupu then spray juu ya hayo makufuli