mkayala
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 555
- 72
- Thread starter
- #21
Na hili lilishatokea, niliwasikia wadada wakisimulina visa walivyokutana navyo wakati wakiwa mayaya, mmoja alisema alikuwa anapewa nguo za ndani afue, mama akiondoka wanazitenga ili baba azione anapokwenda kuoga, kwa aibu alikuwa anazichukua na kurudisha chumbani. Mama akirudi anakuwa mkali matusi kibao na masimango, japo mumewe alikuwa akimwonya asiwape mabinti makufuli yake.
Baada ya manyanyaso ya muda mrefu cku moja alizifua vizuri na baada ya kukauka akazianua akatia *****, akaweka chumbani kisha akachukua virago na kuishia zake.Alikuja kupata taarifa baadae namna alivyomkomo huyo mwajiri na chuki alianzia hapo kwa kuwa walitoka kijiji kimoja,
Ndio dawa yao!