Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,686
- 46,372
Kuna mahali nimesoma kwamba kuna mojawapo ya sekondari nchi hii ilikuwa ukiingia chooni lazima uvue nguo uziache nje vinginevyo utanuka sana harufu ya mavi kwa muda mrefu sana!
Story yenyewe inaelezewa kwa bashasha sana kana kwamba ni jambo mojawapo la kujivunia na wala sio la kusikitisha la shule hiyo! Pia hii ni story ya pili nasikia shule za aina hiyo.
Ni kweli kumewahi kuwepo na shule zenye vyoo vya aina hiyo au ni changamsha genge tu?
Story yenyewe inaelezewa kwa bashasha sana kana kwamba ni jambo mojawapo la kujivunia na wala sio la kusikitisha la shule hiyo! Pia hii ni story ya pili nasikia shule za aina hiyo.
Ni kweli kumewahi kuwepo na shule zenye vyoo vya aina hiyo au ni changamsha genge tu?