Kwa habari niliyopata leo asubuhi kutoka chanzo cha kuaminika ni kwamba PCCB wanatoa nfasi kuanzia wiki inayoaanza jumatatu. Na interview itafanyika wiki moja baada yani kati ya jumamosi au jumatatu inayofuata ndiyo interview zitaanza. So wameshamaliza kufungua maboksi yote na kufanya shortlist.
Vodacom: Kazi ni kwenu!
Vodacom: Kazi ni kwenu!