Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
Muindi wa kwanza
Nilifanya kazi kwake miezi miwili tu.daah kweli mzee Yule alikuwa na visa
Nilikuwa receptionist,secretary,administration.accountant,kilakitu
Saa moja keshanifata nyumbani
Nilihisi dalili chafu cause kampuni ilikuwa kubwa kabisa (kampuni ya ujenzi) madereva ni wengi sijui kwa nini alikuwaananifata mwenyewe one day akatangaza nia nikamwambia nitampa jibu bazazi yule
One day kuna barabara tulijenga ilikuwa ni kuikabidhi nje ya mkoa.eti akaniambie twende wote
Nikamuambia sijajiandaa
Akanipa hela ya safari cause alinipa bila utaratibu na ilikuwa hela nyingi nikasepa zangu kwanza mateso ya paleyalishanichosha
Muindi wa pili
Nilikuwa nafanya kazikampuni ya madini huyu alikuwa ni mmoja wa wakurugenzi
Nilikuwa naishikwenye nyumba ya kampuni kwa iyo akaona ili mahusiano yetu yawe sirinihame pale maana ingekuwa soo kwa wahindi wenzake maana hata mashemejizake walikuwepo
Akanipa hela ya kupangisha nyumba kodi ya mwaka mzima nay a kununuakitanda na godoro na vitu vingine vidogodogo kiukweli alinipa hela ya nguvu by the time huu mchakato unaendelea miminilikuwa natafuta kazi sehemu zingine si mnajua wahindi walivo?
Basi baada ya kunipa hiyo hela akawa amesafiri kufata malipo yake huko china
Kipindi yupo huko nikawa nimepata kazi sehemu ingine
Nikaondoka zangu nikabadili na simu
Hata hajawaikunifatilia mpuuzi Yule
Muindi wa tatu
Huyu tulikutana bankile ya wahindi hope mnaijua
Huyu tukawa marafiki sana wa kawaida email simu kwasana.anadai ameozeshwa mke hampendi sijui nini na nini? Kiukweli mimi na mume wa mtu huwa siwezi
Nae nikala dola zake nikasepa
Sasa kuna mwingine tena naona anakoelekea sipo sitaki dhambi tenajamani nifanyeje?
au destiny yangu ni kwa wahindi jamani?
nb sijali wale mnaoattack thread za watu personaly hii ni jf where we dare to talk openly
Nilifanya kazi kwake miezi miwili tu.daah kweli mzee Yule alikuwa na visa
Nilikuwa receptionist,secretary,administration.accountant,kilakitu
Saa moja keshanifata nyumbani
Nilihisi dalili chafu cause kampuni ilikuwa kubwa kabisa (kampuni ya ujenzi) madereva ni wengi sijui kwa nini alikuwaananifata mwenyewe one day akatangaza nia nikamwambia nitampa jibu bazazi yule
One day kuna barabara tulijenga ilikuwa ni kuikabidhi nje ya mkoa.eti akaniambie twende wote
Nikamuambia sijajiandaa
Akanipa hela ya safari cause alinipa bila utaratibu na ilikuwa hela nyingi nikasepa zangu kwanza mateso ya paleyalishanichosha
Muindi wa pili
Nilikuwa nafanya kazikampuni ya madini huyu alikuwa ni mmoja wa wakurugenzi
Nilikuwa naishikwenye nyumba ya kampuni kwa iyo akaona ili mahusiano yetu yawe sirinihame pale maana ingekuwa soo kwa wahindi wenzake maana hata mashemejizake walikuwepo
Akanipa hela ya kupangisha nyumba kodi ya mwaka mzima nay a kununuakitanda na godoro na vitu vingine vidogodogo kiukweli alinipa hela ya nguvu by the time huu mchakato unaendelea miminilikuwa natafuta kazi sehemu zingine si mnajua wahindi walivo?
Basi baada ya kunipa hiyo hela akawa amesafiri kufata malipo yake huko china
Kipindi yupo huko nikawa nimepata kazi sehemu ingine
Nikaondoka zangu nikabadili na simu
Hata hajawaikunifatilia mpuuzi Yule
Muindi wa tatu
Huyu tulikutana bankile ya wahindi hope mnaijua
Huyu tukawa marafiki sana wa kawaida email simu kwasana.anadai ameozeshwa mke hampendi sijui nini na nini? Kiukweli mimi na mume wa mtu huwa siwezi
Nae nikala dola zake nikasepa
Sasa kuna mwingine tena naona anakoelekea sipo sitaki dhambi tenajamani nifanyeje?
au destiny yangu ni kwa wahindi jamani?
nb sijali wale mnaoattack thread za watu personaly hii ni jf where we dare to talk openly