Kuwa mwangalifu kijana..hata km hujui thamani ya uhai wako, jali uhai wa ndugu zako, makosa ya mtu yanaweza mfanya Mungu kuadhibu hata generation ya tatu mbele..acha kuweka jukwaa kwa watu wasiojua thamani ya maisha yao kumdhihaki Mungu na Mtumishi wake..Kosa langu nikuleta taarifa? Basi Nisamehe saaana Mimi