Askofu Zachary Kakobe yupo wapi? Mwaka wa pili haonekani Uraiani

Nyakijooga

Senior Member
Dec 9, 2018
123
202
Hali ya sintofahamu imeendelea kutawala kuhusu alipo Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Felloship (BGBF) Zachary Kakobe.

Ikiwa ni miezi michache imepita tangu Frank Zachary Kakobe ambaye alijitambulisha kuwa ni mtoto wa Askofu Kakobe kutoa taarifa kwenye baadhi ya Vyombo vya Habari kuwa hafahamu alipo Baba yake kwa muda wa miaka miwili huku akidai kuwa jitihada za kumuona zimegonga mwamba.

Pamoja na Frank kutoa kauli kadhaa kuhusu Kakobe inadaiwa kuwa kuna hofu na tayari mjadala unazidi kufukuta chini kwa chini kwa baadhi ya Wanafamilia, ambapo baadhi ya ndugu wa familia ya Kakobe wanadai kuwa hawajamuona kwa miaka takribani miwili hadi mitatu kufikia Oktoba 2023.
kakobe-1.jpg
Mmoja kati ya Wanafamilia ambaye anadai alizoea kukutana na Askofu Kakobe wakati alipokuwa akija Dar es Salaam kutokea Mkoani Kilimanjaro anapozaliwa Askofu huyo, alisema ni zaidi ya miaka mitatu sasa imepita yeye pamoja na baadhi ya Wanafamilia hawafahamu alipo Askofu huyo.

Mwanafamilia huyo amesema kuwa wanapofuatilia kufahamu wapi alipo majibu yanayotolewa ni kuwa “Kakobe anaandika vitabu 200 vya dini”.

Ananukuliwa akiseam "Ni miaka mitatu sasa imepita hatujamuona, mimi nilipokuwa nakuja Dar es Salaam nilikuwa naonana naye lakini kwa sasa ni miaka mitatu imepita kila ukifuatilia wapi alipo unaambiwa yupo mzima anaandika vitabu jambo ambalo naamini si kweli."

Frank Zachary ambaye alianza kutoa taarifa ya awali anadai licha ya jitihada kadhaa za kumtafuta Baba yake kupitia Vyombo vya Habari lakini juhudi zote hizo ziligonga mwamba.

"Mpaka sasa sijui halipo baba yangu nimefanya kila jitihada hata kwenda nyumbani kwake lakini kuna ugumu kuingia, najiuliza Baba yetu yuko wapi."

Ameongeza "Siku nilipotoa taarifa kwenye Vyombo vya Habari nilipokea simu za watu wengi wakinitaka ninyamaze na kudai Baba yupo anaandika vitabu, wengine wakasema ningewaambia kabla ya kusema, lakini kumbuka kwamba nimeshafatilia nimeenda mpaka nyumbani kwa Mzee majibu ninayopata ni yaleyale ya vitabu, sasa najiuliza kuna siri gani hata kama anatunga vitabu ndio asionekane au waseme wapi anapotungia vitabu."

Aidha, Mtu mmoja ambaye ni rafiki wa muda mrefu wa Askofu Kakobe alipoulizwa kuhusu wapi alipo Askofu huyo alidai yupo anatunga vitabu na kuwa taarifa nyingine tofauti na hizo ni uzushi huku akisema kuwa majukumu mengine ya kanisa lake amewaachia watu wa karibu waendelee kutoa huduma ikiwa yeye anaendelea na utunzi wa vitabu.

"Yupo ni mzima hana shida yoyote alikuwa na kazi ya kutunga vitabu takribani 200 amejikita kwenye suala hilo mengine akawa amewaachia wengine watu wake wa karibu.

“Wengi wamekuwa wakitoa taarifa zisizo sahihi hayuko wapi sijui kaenda wapi, kumbe anaendelea vizuri.''

Hata hivyo baadhi ya watu wa karibu kwenye kanisa lake wanakiri kuwa hawajamuona muda mrefu na kuwa sababu ambayo imekuwa ikielezwa kwao ni kwamba yupo anatunga vitabu.

Maelezo yaliyotolewa na Frank Kakobe alidai kuwa sintofahamu kwake ilianza baada ya kutumiwa picha ya Baba yake akiwa anaonekana katika hali ambayo anadai akuizoea.

"Nilitumiwa picha ya Mzee wangu nikabakia kushika tama na kutoa machozi huku nikijiuliza lini Mzee ameanza kufuga ndevu maana katika maisha yake nilivyomzoea hakupenda kabisa ndevu lakini kwenye picha ile ndevu zilikuwa zimejaa mpaka mashavuni.

“Hofu yangu ilianzia hapo kuongezeka na nikaongeza kasi ya kumtafuta lakini bado sijabahatika kumuona au kujua alipo," anasema Frank Kakobe.
 
Hali ya sintofahamu imeendelea kutawala kuhusu alipo Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Felloship (BGBF) Zachary Kakobe.

Ikiwa ni miezi michache imepita tangu Frank Zachary Kakobe ambaye alijitambulisha kuwa ni mtoto wa Askofu Kakobe kutoa taarifa kwenye baadhi ya Vyombo vya Habari kuwa hafahamu alipo Baba yake kwa muda wa miaka miwili huku akidai kuwa jitihada za kumuona zimegonga mwamba.

Pamoja na Frank kutoa kauli kadhaa kuhusu Kakobe inadaiwa kuwa kuna hofu na tayari mjadala unazidi kufukuta chini kwa chini kwa baadhi ya Wanafamilia, ambapo baadhi ya ndugu wa familia ya Kakobe wanadai kuwa hawajamuona kwa miaka takribani miwili hadi mitatu kufikia Oktoba 2023.

Mmoja kati ya Wanafamilia ambaye anadai alizoea kukutana na Askofu Kakobe wakati alipokuwa akija Dar es Salaam kutokea Mkoani Kilimanjaro anapozaliwa Askofu huyo, alisema ni zaidi ya miaka mitatu sasa imepita yeye pamoja na baadhi ya Wanafamilia hawafahamu alipo Askofu huyo.

Mwanafamilia huyo amesema kuwa wanapofuatilia kufahamu wapi alipo majibu yanayotolewa ni kuwa “Kakobe anaandika vitabu 200 vya dini”.

Ananukuliwa akiseam "Ni miaka mitatu sasa imepita hatujamuona, mimi nilipokuwa nakuja Dar es Salaam nilikuwa naonana naye lakini kwa sasa ni miaka mitatu imepita kila ukifuatilia wapi alipo unaambiwa yupo mzima anaandika vitabu jambo ambalo naamini si kweli."

Frank Zachary ambaye alianza kutoa taarifa ya awali anadai licha ya jitihada kadhaa za kumtafuta Baba yake kupitia Vyombo vya Habari lakini juhudi zote hizo ziligonga mwamba.

"Mpaka sasa sijui halipo baba yangu nimefanya kila jitihada hata kwenda nyumbani kwake lakini kuna ugumu kuingia, najiuliza Baba yetu yuko wapi."

Ameongeza "Siku nilipotoa taarifa kwenye Vyombo vya Habari nilipokea simu za watu wengi wakinitaka ninyamaze na kudai Baba yupo anaandika vitabu, wengine wakasema ningewaambia kabla ya kusema, lakini kumbuka kwamba nimeshafatilia nimeenda mpaka nyumbani kwa Mzee majibu ninayopata ni yaleyale ya vitabu, sasa najiuliza kuna siri gani hata kama anatunga vitabu ndio asionekane au waseme wapi anapotungia vitabu."

Aidha, Mtu mmoja ambaye ni rafiki wa muda mrefu wa Askofu Kakobe alipoulizwa kuhusu wapi alipo Askofu huyo alidai yupo anatunga vitabu na kuwa taarifa nyingine tofauti na hizo ni uzushi huku akisema kuwa majukumu mengine ya kanisa lake amewaachia watu wa karibu waendelee kutoa huduma ikiwa yeye anaendelea na utunzi wa vitabu.

"Yupo ni mzima hana shida yoyote alikuwa na kazi ya kutunga vitabu takribani 200 amejikita kwenye suala hilo mengine akawa amewaachia wengine watu wake wa karibu.

“Wengi wamekuwa wakitoa taarifa zisizo sahihi hayuko wapi sijui kaenda wapi, kumbe anaendelea vizuri.''

Hata hivyo baadhi ya watu wa karibu kwenye kanisa lake wanakiri kuwa hawajamuona muda mrefu na kuwa sababu ambayo imekuwa ikielezwa kwao ni kwamba yupo anatunga vitabu.

Maelezo yaliyotolewa na Frank Kakobe alidai kuwa sintofahamu kwake ilianza baada ya kutumiwa picha ya Baba yake akiwa anaonekana katika hali ambayo anadai akuizoea.

"Nilitumiwa picha ya Mzee wangu nikabakia kushika tama na kutoa machozi huku nikijiuliza lini Mzee ameanza kufuga ndevu maana katika maisha yake nilivyomzoea hakupenda kabisa ndevu lakini kwenye picha ile ndevu zilikuwa zimejaa mpaka mashavuni.

“Hofu yangu ilianzia hapo kuongezeka na nikaongeza kasi ya kumtafuta lakini bado sijabahatika kumuona au kujua alipo," anasema Frank Kakobe.
amejichimbia,anasaka extra "UPAKO" akitoka huko akina kuhani MUSA na MWAMPOSA wajipange,,,,atakuwa mtumishi wa kwanza kufuga ndevu kama ndugu ze2 waislam,,,lakini kwenye biblia MUNGU kiukweli alikataza wanaume kukata nduvu...ndo manake YESU alifuga kama zote!!!!........da!!! atakuwa na UPWIO hatari!!!
 
Hali ya sintofahamu imeendelea kutawala kuhusu alipo Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Felloship (BGBF) Zachary Kakobe.

Ikiwa ni miezi michache imepita tangu Frank Zachary Kakobe ambaye alijitambulisha kuwa ni mtoto wa Askofu Kakobe kutoa taarifa kwenye baadhi ya Vyombo vya Habari kuwa hafahamu alipo Baba yake kwa muda wa miaka miwili huku akidai kuwa jitihada za kumuona zimegonga mwamba.

Pamoja na Frank kutoa kauli kadhaa kuhusu Kakobe inadaiwa kuwa kuna hofu na tayari mjadala unazidi kufukuta chini kwa chini kwa baadhi ya Wanafamilia, ambapo baadhi ya ndugu wa familia ya Kakobe wanadai kuwa hawajamuona kwa miaka takribani miwili hadi mitatu kufikia Oktoba 2023.

Mmoja kati ya Wanafamilia ambaye anadai alizoea kukutana na Askofu Kakobe wakati alipokuwa akija Dar es Salaam kutokea Mkoani Kilimanjaro anapozaliwa Askofu huyo, alisema ni zaidi ya miaka mitatu sasa imepita yeye pamoja na baadhi ya Wanafamilia hawafahamu alipo Askofu huyo.

Mwanafamilia huyo amesema kuwa wanapofuatilia kufahamu wapi alipo majibu yanayotolewa ni kuwa “Kakobe anaandika vitabu 200 vya dini”.

Ananukuliwa akiseam "Ni miaka mitatu sasa imepita hatujamuona, mimi nilipokuwa nakuja Dar es Salaam nilikuwa naonana naye lakini kwa sasa ni miaka mitatu imepita kila ukifuatilia wapi alipo unaambiwa yupo mzima anaandika vitabu jambo ambalo naamini si kweli."

Frank Zachary ambaye alianza kutoa taarifa ya awali anadai licha ya jitihada kadhaa za kumtafuta Baba yake kupitia Vyombo vya Habari lakini juhudi zote hizo ziligonga mwamba.

"Mpaka sasa sijui halipo baba yangu nimefanya kila jitihada hata kwenda nyumbani kwake lakini kuna ugumu kuingia, najiuliza Baba yetu yuko wapi."

Ameongeza "Siku nilipotoa taarifa kwenye Vyombo vya Habari nilipokea simu za watu wengi wakinitaka ninyamaze na kudai Baba yupo anaandika vitabu, wengine wakasema ningewaambia kabla ya kusema, lakini kumbuka kwamba nimeshafatilia nimeenda mpaka nyumbani kwa Mzee majibu ninayopata ni yaleyale ya vitabu, sasa najiuliza kuna siri gani hata kama anatunga vitabu ndio asionekane au waseme wapi anapotungia vitabu."

Aidha, Mtu mmoja ambaye ni rafiki wa muda mrefu wa Askofu Kakobe alipoulizwa kuhusu wapi alipo Askofu huyo alidai yupo anatunga vitabu na kuwa taarifa nyingine tofauti na hizo ni uzushi huku akisema kuwa majukumu mengine ya kanisa lake amewaachia watu wa karibu waendelee kutoa huduma ikiwa yeye anaendelea na utunzi wa vitabu.

"Yupo ni mzima hana shida yoyote alikuwa na kazi ya kutunga vitabu takribani 200 amejikita kwenye suala hilo mengine akawa amewaachia wengine watu wake wa karibu.

“Wengi wamekuwa wakitoa taarifa zisizo sahihi hayuko wapi sijui kaenda wapi, kumbe anaendelea vizuri.''

Hata hivyo baadhi ya watu wa karibu kwenye kanisa lake wanakiri kuwa hawajamuona muda mrefu na kuwa sababu ambayo imekuwa ikielezwa kwao ni kwamba yupo anatunga vitabu.

Maelezo yaliyotolewa na Frank Kakobe alidai kuwa sintofahamu kwake ilianza baada ya kutumiwa picha ya Baba yake akiwa anaonekana katika hali ambayo anadai akuizoea.

"Nilitumiwa picha ya Mzee wangu nikabakia kushika tama na kutoa machozi huku nikijiuliza lini Mzee ameanza kufuga ndevu maana katika maisha yake nilivyomzoea hakupenda kabisa ndevu lakini kwenye picha ile ndevu zilikuwa zimejaa mpaka mashavuni.

“Hofu yangu ilianzia hapo kuongezeka na nikaongeza kasi ya kumtafuta lakini bado sijabahatika kumuona au kujua alipo," anasema Frank Kakobe.
Sidhani kama hii habari ina ukweli wowote!

Mtu anamtafuta baba yake, tena mtu maarufu kama Kakobe, kwa njia ya mitandao kijamii? Ni kweli kuwa hajui alipo au anataka tu kumchagua?

Kwani Kakobe hana watoto wengine zaidi yake? Kwa nini asimwulizie kwa nduguze?

Kakobe hana ofisi? Kwa nini asimwulizie kwa wasiaidizi wake? Ikiwa wasiaidizi wa babaye hawataki kumpa ushirikiano, italeta hisia kuwa anaweza akawa si mtu "mwema" kwa babaye!

Lakini kama anahisi babaye kapotea, Jeshi la Polisi lipo. Akatoe taarifa huko, watamtafuta popote alipo. Si mtu mmoja wala wawili walishawahi kupote na wakapatikana muda mfupi baada ya taarifa kutolewa Polisi. Hata miaka ya hivi karibuni, dowani mmoja "alipotea" kwa siku kadhaa, lakini muda mfupi baada ya hiyo taarifa kulifikia Jeshi la Polisi, alipatikana akiwa mzima.

Kama Frank anahisi babaye kapotea, akaripoti Polisi. Kinyume na hapo, hii itakuwa ni Habari ya kupikwa.
 
Sidhani kama hii habari ina ukweli wowote!

Mtu anamtafuta baba yake, tena mtu maarufu kama Kakobe, kwa njia ya mitandao kijamii? Ni kweli kuwa hajui alipo au anataka tu kumchagua?

Kwani Kakobe hana watoto wengine zaidi yake? Kwa nini asimwulizie kwa nduguze?

Kakobe hana ofisi? Kwa nini asimwulizie kwa wasiaidizi wake? Ikiwa wasiaidizi wa babaye hawataki kumpa ushirikiano, italeta hisia kuwa anaweza akawa si mtu "mwema" kwa babaye!

Lakini kama anahisi babaye kapotea, Jeshi la Polisi lipo. Akatoe taarifa huko, watamtafuta popote alipo. Si mtu mmoja wala wawili walishawahi kupote na wakapatikana muda mfupi baada ya taarifa kutolewa Polisi. Hata miaka ya hivi karibuni, dowani mmoja "alipotea" kwa siku kadhaa, lakini muda mfupi baada ya hiyo taarifa kulifikia Jeshi la Polisi, alipatikana akiwa mzima.

Kama Frank anahisi babaye kapotea, akaripoti Polisi. Kinyume na hapo, hii itakuwa ni Habari ya kupikwa.
Mbona haonekani live hadharani huyo Askofu?
 
amejichimbia,anasaka extra "UPAKO" akitoka huko akina kuhani MUSA na MWAMPOSA wajipange,,,,atakuwa mtumishi wa kwanza kufuga ndevu kama ndugu ze2 waislam,,,lakini kwenye biblia MUNGU kiukweli alikataza wanaume kukata nduvu...ndo manake YESU alifuga kama zote!!!!........da!!! atakuwa na UPWIO hatari!!!
upwiru wa upako au cyo mkuu..


Awamu hii akirudi lilee kanisa halitatoshaa ,mwamposaa lzm ampishee pale kawee.

Kuna siku nayo utasikia gwajima aonekani miaka 2
 
Mitume na manabii walioibuka siku za karibuni wamemfunika anaonekana ni old school hana miujiza yeyote tena kama zamani. Alijaribu kufanya collabo ya kupiga injili yeye na wahubiri wenzake wa zama zake sijui waliishia wapi na mpango wao huo. Walidai hawa mitume na manabii hawahubiri injili motomoto kama walivyohubiri enzi zao. Ila huyu kakobe akiwa nje ya nchi unaweza usiamini kama ni yeye kwa escort ya kijeshi anayoipata huko. Ni kama rais fulani hivi wakati nchini mwake wanamchukulia poa. Ila yeye na wenzake waliohubiri injili ile kali kwa watenda dhambi wapewe maua yao kazi ya kuinjilisha waliifanya
 
Hali ya sintofahamu imeendelea kutawala kuhusu alipo Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Felloship (BGBF) Zachary Kakobe.

Ikiwa ni miezi michache imepita tangu Frank Zachary Kakobe ambaye alijitambulisha kuwa ni mtoto wa Askofu Kakobe kutoa taarifa kwenye baadhi ya Vyombo vya Habari kuwa hafahamu alipo Baba yake kwa muda wa miaka miwili huku akidai kuwa jitihada za kumuona zimegonga mwamba.

Pamoja na Frank kutoa kauli kadhaa kuhusu Kakobe inadaiwa kuwa kuna hofu na tayari mjadala unazidi kufukuta chini kwa chini kwa baadhi ya Wanafamilia, ambapo baadhi ya ndugu wa familia ya Kakobe wanadai kuwa hawajamuona kwa miaka takribani miwili hadi mitatu kufikia Oktoba 2023.
Mmoja kati ya Wanafamilia ambaye anadai alizoea kukutana na Askofu Kakobe wakati alipokuwa akija Dar es Salaam kutokea Mkoani Kilimanjaro anapozaliwa Askofu huyo, alisema ni zaidi ya miaka mitatu sasa imepita yeye pamoja na baadhi ya Wanafamilia hawafahamu alipo Askofu huyo.

Mwanafamilia huyo amesema kuwa wanapofuatilia kufahamu wapi alipo majibu yanayotolewa ni kuwa “Kakobe anaandika vitabu 200 vya dini”.

Ananukuliwa akiseam "Ni miaka mitatu sasa imepita hatujamuona, mimi nilipokuwa nakuja Dar es Salaam nilikuwa naonana naye lakini kwa sasa ni miaka mitatu imepita kila ukifuatilia wapi alipo unaambiwa yupo mzima anaandika vitabu jambo ambalo naamini si kweli."

Frank Zachary ambaye alianza kutoa taarifa ya awali anadai licha ya jitihada kadhaa za kumtafuta Baba yake kupitia Vyombo vya Habari lakini juhudi zote hizo ziligonga mwamba.

"Mpaka sasa sijui halipo baba yangu nimefanya kila jitihada hata kwenda nyumbani kwake lakini kuna ugumu kuingia, najiuliza Baba yetu yuko wapi."

Ameongeza "Siku nilipotoa taarifa kwenye Vyombo vya Habari nilipokea simu za watu wengi wakinitaka ninyamaze na kudai Baba yupo anaandika vitabu, wengine wakasema ningewaambia kabla ya kusema, lakini kumbuka kwamba nimeshafatilia nimeenda mpaka nyumbani kwa Mzee majibu ninayopata ni yaleyale ya vitabu, sasa najiuliza kuna siri gani hata kama anatunga vitabu ndio asionekane au waseme wapi anapotungia vitabu."

Aidha, Mtu mmoja ambaye ni rafiki wa muda mrefu wa Askofu Kakobe alipoulizwa kuhusu wapi alipo Askofu huyo alidai yupo anatunga vitabu na kuwa taarifa nyingine tofauti na hizo ni uzushi huku akisema kuwa majukumu mengine ya kanisa lake amewaachia watu wa karibu waendelee kutoa huduma ikiwa yeye anaendelea na utunzi wa vitabu.

"Yupo ni mzima hana shida yoyote alikuwa na kazi ya kutunga vitabu takribani 200 amejikita kwenye suala hilo mengine akawa amewaachia wengine watu wake wa karibu.

“Wengi wamekuwa wakitoa taarifa zisizo sahihi hayuko wapi sijui kaenda wapi, kumbe anaendelea vizuri.''

Hata hivyo baadhi ya watu wa karibu kwenye kanisa lake wanakiri kuwa hawajamuona muda mrefu na kuwa sababu ambayo imekuwa ikielezwa kwao ni kwamba yupo anatunga vitabu.

Maelezo yaliyotolewa na Frank Kakobe alidai kuwa sintofahamu kwake ilianza baada ya kutumiwa picha ya Baba yake akiwa anaonekana katika hali ambayo anadai akuizoea.

"Nilitumiwa picha ya Mzee wangu nikabakia kushika tama na kutoa machozi huku nikijiuliza lini Mzee ameanza kufuga ndevu maana katika maisha yake nilivyomzoea hakupenda kabisa ndevu lakini kwenye picha ile ndevu zilikuwa zimejaa mpaka mashavuni.

“Hofu yangu ilianzia hapo kuongezeka na nikaongeza kasi ya kumtafuta lakini bado sijabahatika kumuona au kujua alipo," anasema Frank Kakobe.
Kwani Hana simu na ikiitwa inalia au hapo kwa kanisa yake pamefungwa!
 
nadhani itakuwa vigumu sana mtu kama Kakobe kudhuriwa na watu wasiofahamika, au kwamba asionekane na watu wake wa karibu kanisani wasipanikishe Taifa, inawezekana kweli? ni mzee asije kuwa anaumwa magonjwa ya uzee hawataki kumtoa nje au yupo nje ya nchi, kwanza ile passport yake walimrudishia? si ilisemekana alinyang'anywa passport na wakasema sio raia kwasababu tu ametokea Kigoma? kwahiyo watu wa kigoma sio raia?

muono wangu, ukiona kakobe kapotea kwa namna yeyote ile, kidole isinyooshewe serikali, alisharudi serikalini, wa kunyooshewa kidole ni MITUME NA MANABII, kikundi cha kna mwamposa, kina suguye, geordevie na wengine. kundi lao yeye alikuwa analipinga na kuliandama sana. Paschal casian anawajua vizuri mitume na manabii, ukiwaumbua kwamba wanatumiwa na shetani, wakikushindwa rohoni huwa wanakuja mwilini.
 
Back
Top Bottom