Askofu Kakobe: Tanzania ni mpango wa shetani; Tanganyika inakuja!

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,850
18,260
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:


MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.

Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
 
Naanza kufikiri hii bandari ina jambo fulani hivi limejificha.
Sakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.

Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.

Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?
 
Sakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.

Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.

Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?
Kuna jambo halisemwi.
 
Naanza kufikiri hii bandari ina jambo fulani hivi limejificha.
tena jambo kubwa sana lengo kubwa ni kukaribisha hao waarabu nchini halafu baada ya muda watakuwa wamejazana hapa na kwa uwingi wao waweze kuwadhoofisha waTanganyika then wabaki na Tanganyika yetu ili iwe nafuu kwa wazanzibar maana ni wamoja hivyo basi tunapaswa kuwa makini sana na kumshirikisha Mungu katika hili hawa wenzetu wana vinyongo visivyoisha na bado katika muungano wanaona wanaonewa.
 
tena jambo kubwa sana lengo kubwa ni kukaribisha hao waarabu nchini halafu baada ya muda watakuwa wamejazana hapa na kwa uwingi wao waweze kuwadhoofisha waTanganyika then wabaki na Tanganyika yetu ili iwe nafuu kwa wazanzibar maana ni wamoja hivyo basi tunapaswa kuwa makini sana na kumshirikisha Mungu katika hili hawa wenzetu wana vinyongo visivyoisha na bado katika muungano wanaona wanaonewa.
Zanzibar wanautaka muungano? Samia ni mzanzibari.
 
Back
Top Bottom