Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Ninasema kwa idadi ya majimbo tuliyopata HAKI ni zaidi ya uraisi mnaouota. Cha moto mtakiona 2015. Hapo ndipo mtakapolia na kusaga meno.
Baada ya JK mna mtaji gani kama sio garasha?
Baada ya JK mna mtaji gani kama sio garasha?