charrote
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,740
- 3,820
Mshukuru Mungu kwa kumjalia neema mke wako ya kujifungua salama kwa wakati na bila usumbufu au matatizo yoyote ki afya ila hiyo neema aliyokupa Mungu isikupe kiburi ukamkufuru.
Unataka kuniambia wanaofia leba wakijifungua nao huwa wanaigiza kufa? Au wanaoshindikana kujifungua kawaida hadi wanaamua kumfanyia upasuaji ule ni uigizaji?
Kiburi cha uzima kinakusumbua . Mshukuru Mungu kwa ajili ya neema yake maishani mwenu ila usikufuru. Hiyo ni Neema tu wala haukustahili.
Hayo maneno aliyotamka katamka kws kuwa mkewe hajawahi kupitia changamoto za ujauzito
Ila siku wkipitia atakuja hapa kuomba msamaha