article
Senior Member
- Sep 10, 2016
- 174
- 326
Katika harakati zangu za kujiongezea ufahamu wa lugha ngeni niliamua kuanza kujifunza lugha ya Kiarabu kwa miezi kadhaa sasa.
Jambo ambalo limenishangaza ni kukutana na maneno mengi ya kiarabu ambayo yana maana sawa na maneno ya kishwahili ila mengine yana utofauti kidogo kwenye uhandishi kwa mfano saba=sab'a, bakia=baqiya, shaka= shakka, sababu=sabbaba, hamsini=khamsuun, sitini=sittuun, mia = mi'a, elfu = alf kwa kutaja machache.
Wataalamu wa lugha ya kiswahili naomba mnipe uhusiano kati ya lugha hizi mbili kwa kifupi, historia zao na chochote muhimu kwenye lugha hizi mbili zinazohusiana kwa karibu sana kwa jinsi nilivyoona kwa kutumia elimu yangu ya msingi kwenye hizi lugha.
Ahsante sana,
Article.
Jambo ambalo limenishangaza ni kukutana na maneno mengi ya kiarabu ambayo yana maana sawa na maneno ya kishwahili ila mengine yana utofauti kidogo kwenye uhandishi kwa mfano saba=sab'a, bakia=baqiya, shaka= shakka, sababu=sabbaba, hamsini=khamsuun, sitini=sittuun, mia = mi'a, elfu = alf kwa kutaja machache.
Wataalamu wa lugha ya kiswahili naomba mnipe uhusiano kati ya lugha hizi mbili kwa kifupi, historia zao na chochote muhimu kwenye lugha hizi mbili zinazohusiana kwa karibu sana kwa jinsi nilivyoona kwa kutumia elimu yangu ya msingi kwenye hizi lugha.
Ahsante sana,
Article.