taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 538
no....ni katika kutambua uwepo wa mahendsam bungeni.....
Nani wa ccm hendsam.....
(zingatia jukwaa tafadhali)
steven wasira
no....ni katika kutambua uwepo wa mahendsam bungeni.....
Nani wa ccm hendsam.....
(zingatia jukwaa tafadhali)
we dada taratibu!ngoja kwanza atekeleze ahadi zake kwa wapiga kura wake!
kwa jinsi ninamvomjua Lowassa si ajabu
keshafanya mpango Nassari amuoe binti yake Pamela...
Ili jimbo lilrudi kwenye familia...Siyoi anaweza kupewa kibuti faster..lol
NO....ni katika kutambua uwepo wa mahendsam bungeni.....
nani wa CCM hendsam.....
(zingatia jukwaa tafadhali)
Pamela ni mke wa Sioi Jeremia Sumari, iweje Nassari amwoe tena?
For me,to be at JF is a great experience,....to be BANNED is gain...Dah,matola umekuwa banned tena ndugu yangu?
Hongera sana.
your so foolish!!! akili yako yaajabu sana dada yangu hata kama ulikuwa unatania but inaonekana tayari unaakili za kitoto sana wewe.
kwani ana miaka mingapi?lol
NO....ni katika kutambua uwepo wa mahendsam bungeni.....
nani wa CCM hendsam.....
(zingatia jukwaa tafadhali)
kuna haendsam kama WASSIRA ...... yaani watu wanagombania kupiga naye picha ya ukumbusho ..anafuatiwa na mzee wangu wa kilimo bora PETER KAYANZA MIZENGO PINDA
acha kula Vyembe.. Kosa lake nini sasa.. eee .. mbona unahukumu kwa uharaka hivyo.. Yote maisha ni akili za mgando kudhani kwamba wanaume peke yao ndio wenye mamlaka ya kutongoza,, wote wana haki sawa.. by the way wanawake wengi sasa ndio wanaoa we vipi!!your so foolish!!! akili yako yaajabu sana dada yangu hata kama ulikuwa unatania but inaonekana tayari unaakili za kitoto sana wewe.
....
" (
) " unamaanisha nini..!?
Stephen Masatu WasiraNO....ni katika kutambua uwepo wa mahendsam bungeni.....
nani wa CCM hendsam.....
(zingatia jukwaa tafadhali)