kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
we embu shika adabu yako,soon me ndio nakuwa mke wa nassari....meza nyembe basi.....
Mawazo ya namna hii yanawazalilisha wanawake wenye akili zao.
we embu shika adabu yako,soon me ndio nakuwa mke wa nassari....meza nyembe basi.....
Only Shigongo & co, can do such a rubbish u try to advise me.....
siwezi kumzungumzia!!!! ajue asijue shauri yake..kwanza ni mwanasheria wa serikali mahakama kuu..so ukitaka ufafanuzi unaweza ukamtafuta pale ofisinii kwake..!!
Huyo mchuchu ni Preta...habari ndio hiyo!.duh huyu mchuchu hapo pembeni ya mdee ni nani?
Only Shigongo & co, can do such a rubbish u try to advise me.....
Hivi huyu Halima Mdee hajapata Mwanaume ambaye wanaendana au chaguwa chaguwa imezidi? i think i need her!!.....
hajaoa,
nimesikia kny hotuba yake.....
jamani eeeh am singo.....
nani hataki kupanda VX?lol
fanya haraka ndugu yangu.....safura haikubaliki......
operesheni angamiza safura.......imeanza....
They never lower the standards for all the reasons known on earth. Au wewe unaendesha mambo kwa utaratibu huo??
cheki sura zenye mvuto......check mabody yao...no kitambi no safura.......
hajaoa,
nimesikia kny hotuba yake.....
jamani eeeh am singo.....
nani hataki kupanda VX?lol
Mkuu umechemka mbayaSamahani mkuu hivi kwa mwanamke msomi kama Halima Mdee hajui maana ya Engagement!!??.........sidhani kama mtu yeyote aliyeelimika kama anaweza akawa Engaged kwa zaidi ya miezi 6 bila ndoa......something is wrong here.
Kuhusu ubaunsa wake mimi haunitishi lolote, maana kila umuonapo Matola basi ujuwe ana Berreta made in Czech kiunoni.
NO....ni katika kutambua uwepo wa mahendsam bungeni.....
nani wa CCM hendsam.....
(zingatia jukwaa tafadhali)
Mkuu siyo kwamba Mdee ni mkubwa sana kwa huyu chaliiii??
Not only that, tough wallet also:
Preta hapa ndo tulikuwa tunacheza sebene la ushindi??:biggrin:
jamani....hapa tunaongelea waeshia au wabantu.....?
naomba mswahili tafadhali.......