Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 710
Natanguliza Shukrani zangu binafsi kwa senator kwa kunipa moyo wakati mambo yangu yalipokua mabaya pale tcu..and namshukuru Mungu mambo yangu mpaka kwa sasa yako pouwa ingawa nimechagua kozi sita but nime qualify tano tu that means hakuna matata hope nitachaguliwa moja wapo wa kozi hizo tano nilizo QUALIFY..!! Tuko pamoja sana wana JF