Kumbe ATC ni usafiri wa wanasiasa.............

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
11_11_gywhzb.jpg
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kapteni mstaafu Issa Machibya (anayeshuka kwenye ndege) akipokewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATC), Paul Chizi baada ya kukagua ndege hiyo ilipowasili uwanja wa Kigoma. Shirika hilo limeanza kutoa huduma zake baada ya kusimama kwa muda mrefu. (Picha na Robert Okanda).
 
hawa jamaa siasa zinazidi, hakuna cha biashara wala jipya. Watabakia kubebana wenyewe kwa wenyewe tu (wanasiasa)
 
Back
Top Bottom