Kulingana na meta info. Picha ya myika kuwepo kwenye mkutano ni uongo.

Hawa wafuasi wa chadema ni waongo sana ndiyo maana Dr Slaa amewaumbua sasa msubiri Mnyika nae awaumbue
 
Huelewi chochote unaongelea "International Color Consortium"
Mimi ninaongelea META usipotoshe. Hiyo 2012 inammanisha nini ndugu?

Annael hiyo meta info inasema hiyo picha 2012 Je uhalisia wa picha na wahusika ukoje? Shirikisha ubongo wako usilazimishe kwasababu tu meta info imesema
 
anael...umeulizwa maswali mawili.
1. Mwaka 2012 salum mwalim Alikuwa kiongozi wa chadema?
2. Mwaka 2012 mnyika Alikuwa anvaa miwani?
Jibu hayo maswali acha janja janja
 
Last edited by a moderator:
Hawa wafuasi wa chadema ni waongo sana ndiyo maana Dr Slaa amewaumbua sasa msubiri Mnyika nae awaumbue

Mwenzako ametuletea meta info ya 2012 ebu wewe thibitisha huo uongo ukiangalia hiyo picha high table unamuona nani na nani?
 
Nimepata META DATA za picha iliyowekwa kuelezea kuwa Myika alikuwa kwenye Secretariety inaonesha kuwa picha hiyo ni ya 2012. Kwahiyo bwana @RUCCI Tumuweke naye katika kundi la kutokuaminika. Hizi hapa ndizo tarifa za hiyo picha iliyo wekwa

Camera

Camera info not found.



Author and Copyright

Copyright not found.



Location

GPS coordinates not found.




EXIF

EXIF data not found.



XMP

XMP data not found.




Maker Notes

Maker Notes data not found.



ICC Profile

ProfileCMMTypelcms
ProfileVersion2.1.0
ProfileClassDisplay Device Profile
ColorSpaceDataRGB
ProfileConnectionSpaceXYZ
ProfileDateTime2012:01:25 03:41:57
ProfileFileSignatureacsp
PrimaryPlatformApple Computer Inc.
CMMFlagsNot Embedded, Independent
DeviceManufacturer
DeviceModel
DeviceAttributesReflective, Glossy, Positive, Color
RenderingIntentPerceptual
ConnectionSpaceIlluminant0.9642 1 0.82491
ProfileCreatorlcms
ProfileID0
ProfileDescriptionc2
ProfileCopyrightFB
MediaWhitePoint0.9642 1 0.82491
MediaBlackPoint0.01205 0.0125 0.01031
RedMatrixColumn0.43607 0.22249 0.01392
GreenMatrixColumn0.38515 0.71687 0.09708
BlueMatrixColumn0.14307 0.06061 0.7141
RedTRC(Binary data 64 bytes)
GreenTRC(Binary data 64 bytes)
BlueTRC(Binary data 64 bytes)

Naomba tuache ubabaishaji

Angalia date settings za kifaa ulichotumia retrieve meta data. Hii picha ni mbichi 2015.
 
Nimesema kulingana na taarifa zilizo ndani ya hiyo picha inaonekana ni 2012. issue za ndani ya chama chenu siyajui kama alikuwa kiongozi au la. kwani kuteta na mbowe pale ndio maana ya kuwa kiongozi. Acheni uongo.
Vitu vingine au siku nyingine utumie akili yako mwenyewe usiwe kama roboti.
 
Kwa hiyo tuamini hiyo tuamini hiyo drag and drop yako na tu-ignore ufahamu wote sote kwamba Salumu Mwalimu alikuwa kiongozi mwaka 2014 !

Ili metadata yako iwe sahihi, lazima uwe na uhakika kwamba tarehe ya Camera iliyotumika ilikuwa imesetiwa kwa usahihi, kitu ambacho huna uhakika unless wewe ndie uliyepiga hiyo picha na unaijua hiyo Camera. Mara nyingi kamera zinakuwaga na settings zisizo sahihi za dates !. Watu huwa hawaangalii usahihi wa tarehe kwenye camera kabla ya kuchukua picha.....Hivyo hiyo metadata yako inaweza isikusaidie sana when it comes to dates

Hebu Drag na drop kwenye mtandao huu utajua hiyo picha ina taarifa gani
online metadata and exif viewer
 
Hawa wafuasi wa chadema ni waongo sana ndiyo maana Dr Slaa amewaumbua sasa msubiri Mnyika nae awaumbue

Nawe ni mpuuzi tu mmoja, kipondi hicho Salum alikua nani na ana majukumu gani? Punguza uvivu wa kuwaza kijana
 
Wakati mwingine madesa yanawaharibu vijana wetu kwahili la leo nina uhakika atapata somo juu ya meta info
Katika taarifa huwezi ukapiga picha moja tu. Hebu mwambie atupie picha nyingine tuweze kuiona kwa ushahidi.
 
Chadema ya sasa imeingiliwa na vijana waongo mno.Kiasi cha kuanza kujichanganya.

DOGO janja anasema Mnyika kaonekana na alikuwa anaumwa malaria.

kina PISTO LERO wanasema Mnyika alikuwa na matatizo ya kifamilia.


Jana kuna bavicha mmoja alisema mnyika atakuwa kwenye kura za maoni kibamba!

Mbaya zaidi Mnyika hajarespond kwenye mitandao ya kijamii.

Nasisitiza yuache hadaa tutaumbuka!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo tuamini hiyo tuamini hiyo drag and drop yako na tu-ignore ufahamu wote sote kwamba Salumu Mwalimu alikuwa kiongozi mwaka 2014 !

Ili metadata yako iwe sahihi, lazima uwe na uhakika kwamba tarehe ya Camera iliyotumika ilikuwa imesetiwa kwa usahihi, kitu ambacho huna uhakika unless wewe ndie uliyepiga hiyo picha na unaijua hiyo Camera. Mara nyingi kamera zinakuwaga na settings zisizo sahihi za dates !. Watu huwa hawaangalii usahihi wa tarehe kwenye camera kabla ya kuchukua picha.....Hivyo hiyo metadata yako inaweza isikusaidie sana when it comes to dates
Nakuomba utupue picha ya pili inayo shabihiana na madhali hiyo kwa utetezi wako.
 
Back
Top Bottom