Hapa tunaongelea technology dada. Ndani ya picha kuna taarifa zilizojificha ukipiga camera zinahifadhiwa. Mambo ya common sens ni ya kwako.
Nimesema kulingana na taarifa zilizo ndani ya hiyo picha inaonekana ni 2012. issue za ndani ya chama chenu siyajui kama alikuwa kiongozi au la. kwani kuteta na mbowe pale ndio maana ya kuwa kiongozi. Acheni uongo.
Hahahaaa
Common sense Vs Technology...
Hapa tunaongelea technology dada. Ndani ya picha kuna taarifa zilizojificha ukipiga camera zinahifadhiwa. Mambo ya common sens ni ya kwako.
Wewe gamba, Chadema inakuhusu nini? Nyie si mlitwanga pilipili pale Dodoma! Basi endeleeni kukohoa.
naona umembana UVCCM anazani kugoogle kutamsaidia..
nimetupa kadi ya chadema.
nimetupa kadi ya chadema.
hajambana tu...yaani kamminya mpaka mbolea imemchuruzika uwani
We UVCCM kadi ya CHADEMA uitoe wapi
We kweli hamnazo....wakati mwingine uache kuingilia kazi za watu au kuongelea mambo usiyoyajua hauna tofauti na jamaa mmoja huku alianza kumponda Magufuli eti kwakuwa twitter yake imeandikwa Minister of Works!Hapa tunaongelea technology dada. Ndani ya picha kuna taarifa zilizojificha ukipiga camera zinahifadhiwa. Mambo ya common sens ni ya kwako.
Huelewi chochote unaongelea "International Color Consortium"ICC profile na picha ni vitu viwili tofauti. Hiyo tarehe inaonyesha lini ICC profile ilikuwa created na SIYO lini picha ilipigwa.
Huelewi chochote unaongelea "International Color Consortium"
Mimi ninaongelea META usipotoshe. Hiyo 2012 inammanisha nini ndugu?
Hapa tunaongelea technology dada. Ndani ya picha kuna taarifa zilizojificha ukipiga camera zinahifadhiwa. Mambo ya common sens ni ya kwako.