nimetupa kadi ya chadema.
Nia yako ni kutaka kutuonyesha unaweza kudukua info za picha but umepotea,mwaka 2012 salum mwalimu alikua mfangakazi wa vodacom au channel ten kama sikosei sasa kwenye kikao cha chadema alifuata nini hiyo 2012? pyuuuuuuu!!!!