Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
- Thread starter
- #21
Pole mkuu kumbuka kufuata sheria na kanuni za JF
Aisee mimi napenda sana kuzifuata ila **** watu wanakera sana
Pole mkuu kumbuka kufuata sheria na kanuni za JF
Acha mambo ya ki K wewe, na wewe hamia kule kwa michuzi
<br />We rudi zako facebook hujii ulicho kifata huku jf
<br />Haya ndio mambo yenyewe sasa ya ki K ambayo wengine tunashindwa kuyavumilia
<br />Sababu ya kula ban uliambiwa ni nini? na unahisi leo hujairudia?
mi nakubaliana na aliyeanzisha thead, kuna watu wana mambo ya ki-Kweche sana.Haya ukae kwa heshima na adabu, sikupigi ban tena, lakini usizowee wala usirudie, ukirudia nakupiga ban ya maisha!
Nduka original Ulifanya nini adi ukala BIG BAN?