Wanawake Jitafakarini

Diwani

JF-Expert Member
Oct 25, 2014
2,672
2,697
Amani iwe nanyi,

Naomba mnialike rasmi kwenye jukwaa la huba, mgeni wenu natokea majukwaa jirani hapo, hususan Ajira na Tenda.

Basi, nisikuchoshe, kuna kisa kifupi nitasimulia lakini naomba niwahase kitu dada zangu.

'Mwisho wa Siku, Mwanamume atakutamani kwa namna ulivyo, yaani maumbile yako, lakini atakupendea kwa namna unavyoenenda, yaani tabia yako'

Wenzetu kule Ulaya wanasema 'Boys Will be boys' wakiwa wanamaanisha kwamba, ki haiba Wanaume wanachelewa sana kukuwa, hivyo usimshangae jibaba likiwa linafanya mambo ya kitoto. Lakini mambo yamegeuka, dada zangu siku hizi HAMKUI, mmeganda kwenye Ulimbukeni, mnaendeshwa na Ujinga halafu Umri ukikutupa mkono sasa, unakuja JF kuandika vigezo vya Mwanamume unayemtaka, kumbe akili yako haipo tayari kumpokea, mtoto.

TWENDE SAWA.

Baada ya kupigwa na maisha, ambayo bado yanipiga mpaka sasa, nikahamia kilinge kingine hapa Jijini Dar, eneo la Mbezi. Kama ilivyo ada, ukiamia mahali pageni, unakutana na watu wapya. Basi nikakutana na Mdada ambaye anakimbilia miaka 29 hivi sasa, amepanga karibu nami, yani kuta tu imetutenganisha.

Basi katika kuishi kwetu na kuingiliana, zipo nyakati ambazo tukaanza kukaa pamoja tukipiga story za uongo na kweli, na wakati mwingine kuanzia jioni mpaka Usiku sana, tukimaliza kila mtu anatafuta mlango wake anaenda kulala.

Lakini mambo yakawa si Story peke yake tena, upepo ukabadilika, asubuhi moja hivi, kama kawaida Bachelor mimi nikajipikilisha, ubwabwa na samaki wa mchemsho, nikapakua kidogo nikaanza kufungua kinywa, sikuwa najua kama jirani yangu yupo. Naomba ujue kuwa hiyo 'nyumba' tupo watatu, kuna Bachelor mwenzangu ambae si mshindaji kabisa hapa.

Basi tuendelee, siku hiyo bwana sijui kama yeye naye yupo OFF, mi ndio najiandaa kwenda mizunguko huko, ghafla nikaona mlango unafunguliwa, tukasalimiana, nikauliza akanambia kama yupo OFF, basi nikamwambia nitafurahia kama jirani yangu utaonja pishi langu leo, akakubali mwanaume nikaingia chumbani nikala nikajiandaa nikasepa.

Akala, akanitumia mesej kwamba kulikuwa kitamu, basi nikaona fresh nikaendelea na mishe zangu huko. Zikapita kama siku mbili hivi, narudi Job,halafu sina nauli, so ikabidi ni print tu mpaka napokaa, hapo sijui nakula nini home, ila nikaona ngoja nifike kwanza, mengine ntajua huko, nipo njiani ghafla mesej inaingia.

'Jirani kama umerudi, utafungua kabati yako hapo, kuna mzigo nimekuwekea' nikatafakari kidogo, ila ikabidi nikajionee, kwa kweli nilikuwa nahamu ya kujua ni kitu gani, kumbe bwana siku hiyo na yeye kajipikilisha, nafungua ma hotpot, jamani ni hatari, mambo yamenona huko sio poa, nikala siku ile ikabidi nimshukuru na Mungu, maana kwa kweli sikuwa naelewa ningekula nini. Hapa sasa jioni ntajua la kufanya.

Basi hapo ndipo mazoea yetu yakaanza kupanuka sasa, kuna muda tulikuwa tunasaidiana kupika, tunakula wote. Ikawa kawaida sasa,kiukweli yale mazoea yalinifanya nianze kumpenda yule dada, na hakuna namna ningelikataa hilo.

Siku moja wakati narudi home, nimefika hivi nikamkuta mtoto wa mama mwenye nyumba yupo Chumbani kwa yule dada, ni jamaa mmoja hivi umri kwa kukadiria ni kama 30s hivi, au labda ni mdogo ila pombe zimemtafuna. Basi nikawa namuona anatoka chumbani kwa yule dada, roho iliniuma sana kujua kwamba jamaa ndio anapiga, ila nikawa najipa moyo, 'kama sio mpenzi wangu, kinachoniumiza kitu gani sasa' ikanibidi nikubali tu, mambo yakawa yanasonga hivyo hivyo, nikakubali kuwa mnyonge.

Basi bwana; kuna mtu nilimfanyia kazi yake ya graphics, ni mtu mzima kidogo, hiyo siku nikampigia simu, kwa ajili ya malipo, akawa ananizungusha, na hapo ni baada ya kama wiki mbili kupita, ananizungusha tu. Siku hiyo nikaona liwalo na liwe, kwa kawaida mimi nina aibu, na siwezi kumdai mtu fedha kama hajaamua kunipa, ila nitakuwa namkumbusha tuu, kistaarabu.

Basi, nikaenda kununua 'kadadaa' wanywaji mnanielewa, sio walevi, naomba nisisitize hapa. Nikapiga glass kama mbili hivi, ili niwe na confidence ya kumdai, basi napiga simu yake haipatikani, piga sana haipatikani, hiyo ni kama mida ya saa 2 usiku, nikaona hapa natwanga maji kwenye kinu, nikatoka nje, kuna mahala nikakaa, nimeongea peke yangu pale, nikamtukana sana yule mzee ili niondoe hasira zangu mpaka mida kama ya saa nne hivi, nikarudi zangu ndani, nikaendelea na glass yangu.

Ghafla ule mlango wa nje ukawa unafunguliwa. Mimi majirani zangu wakiwa wanaingia tu najua huyu ni nani, basi nikajua ni yule dada kaja, wakati huo nipo WhatsApp hapo, nikaona na yeye yupo online, nikamsalimia, ika blue tick, hakujibu, ghafla naona simu yake inaingia akanambia "Mambo" nikamwambia "kwa Yesu" basi akaanza kucheka, akaniuliza kama nimekuwa mlokole, tukapiga story mbili tatu pale ndipo nikaanza visa sasa. Nikamwambia

"Kumbe juzi ulikuwa na shemeji rafki yangu, umekuwa mama mwenye nyumba sa hivi, nikikusanya tuhela twangu nitakuwa nakupa"

Kama kuna siku yule dada alicheka sana ndio ile, akaniambia "Hapana, yule sio bwana angu, nilimpigia simu aje kunisaidia kufunga kitanda changu, halafu na pazia langu lilikuwa limeanguka so alikiwa anagongelea hapo juu, mana niliona wewe hujarudi"

Pale kidogo hata kamoyo kakanishuka, nikajisikia afadhali kidogo, nikasema haya hakuna shida nikahisi ndio baba yetu huyo" akacheka tena, akaniuliza kama leo nimemuamulia.

Bwana asikufiche mtu, Pombe mbaya, nikajikuta namwambia "siku nikikuamulia unadhani patakalika humu ndani, mana naona kuna mtu ni kama anachezea bahati hivi" akaanza kushangaa, maana hajanizoea hivyo mkristo mimi, " nikamwambia, ni vile tu nina mtu napendana naye, na nina mahusiano ninayotaka niyaishi, ila umeniweza sana"

Bwana yule dada hakuamini anachosikia, akaniuliza "hivi una confidence ya kuongea hivyo mbele yangu, mbona kama sikuelewi"

Mwanaume nikamjibu "Fungua mlango nije nikwambie huku nakuangalia usoni kama huamini" weeeeee, akafungua mlango kweli bwana, nasikia kabisa mlango unafunguka, pombe ilivyokuwa haina adabu, Abdala kichwa wazi asisimame, moja kwa moja nikafungua na mimi wa kwangu naelekea chumbani kwake.....

Ntaendelea.
 
Amani iwe nanyi,

Naomba mnialike rasmi kwenye jukwaa la huba, mgeni wenu natokea majukwaa jirani hapo, hususan Ajira na Tenda.

Basi, nisikuchoshe, kuna kisa kifupi nitasimulia lakini naomba niwahase kitu dada zangu.

'Mwisho wa Siku, Mwanamume atakutamani kwa namna ulivyo, yaani maumbile yako, lakini atakupendea kwa namna unavyoenenda, yaani tabia yako'

Wenzetu kule Ulaya wanasema 'Boys Will be boys' wakiwa wanamaanisha kwamba, ki haiba Wanaume wanachelewa sana kukuwa, hivyo usimshangae jibaba likiwa linafanya mambo ya kitoto. Lakini mambo yamegeuka, dada zangu siku hizi HAMKUI, mmeganda kwenye Ulimbukeni, mnaendeshwa na Ujinga halafu Umri ukikutupa mkono sasa, unakuja JF kuandika vigezo vya Mwanamume unayemtaka, kumbe akili yako haipo tayari kumpokea, mtoto.

TWENDE SAWA.

Baada ya kupigwa na maisha, ambayo bado yanipiga mpaka sasa, nikahamia kilinge kingine hapa Jijini Dar, eneo la Mbezi. Kama ilivyo ada, ukiamia mahali pageni, unakutana na watu wapya. Basi nikakutana na Mdada ambaye anakimbilia miaka 29 hivi sasa, amepanga karibu nami, yani kuta tu imetutenganisha.

Basi katika kuishi kwetu na kuingiliana, zipo nyakati ambazo tukaanza kukaa pamoja tukipiga story za uongo na kweli, na wakati mwingine kuanzia jioni mpaka Usiku sana, tukimaliza kila mtu anatafuta mlango wake anaenda kulala.

Lakini mambo yakawa si Story peke yake tena, upepo ukabadilika, asubuhi moja hivi, kama kawaida Bachelor mimi nikajipikilisha, ubwabwa na samaki wa mchemsho, nikapakua kidogo nikaanza kufungua kinywa, sikuwa najua kama jirani yangu yupo. Naomba ujue kuwa hiyo 'nyumba' tupo watatu, kuna Bachelor mwenzangu ambae si mshindaji kabisa hapa.

Basi tuendelee, siku hiyo bwana sijui kama yeye naye yupo OFF, mi ndio najiandaa kwenda mizunguko huko, ghafla nikaona mlango unafunguliwa, tukasalimiana, nikauliza akanambia kama yupo OFF, basi nikamwambia nitafurahia kama jirani yangu utaonja pishi langu leo, akakubali mwanaume nikaingia chumbani nikala nikajiandaa nikasepa.

Akala, akanitumia mesej kwamba kulikuwa kitamu, basi nikaona fresh nikaendelea na mishe zangu huko. Zikapita kama siku mbili hivi, narudi Job,halafu sina nauli, so ikabidi ni print tu mpaka napokaa, hapo sijui nakula nini home, ila nikaona ngoja nifike kwanza, mengine ntajua huko, nipo njiani ghafla mesej inaingia.

'Jirani kama umerudi, utafungua kabati yako hapo, kuna mzigo nimekuwekea' nikatafakari kidogo, ila ikabidi nikajionee, kwa kweli nilikuwa nahamu ya kujua ni kitu gani, kumbe bwana siku hiyo na yeye kajipikilisha, nafungua ma hotpot, jamani ni hatari, mambo yamenona huko sio poa, nikala siku ile ikabidi nimshukuru na Mungu, maana kwa kweli sikuwa naelewa ningekula nini. Hapa sasa jioni ntajua la kufanya.

Basi hapo ndipo mazoea yetu yakaanza kupanuka sasa, kuna muda tulikuwa tunasaidiana kupika, tunakula wote. Ikawa kawaida sasa,kiukweli yale mazoea yalinifanya nianze kumpenda yule dada, na hakuna namna ningelikataa hilo.

Siku moja wakati narudi home, nimefika hivi nikamkuta mtoto wa mama mwenye nyumba yupo Chumbani kwa yule dada, ni jamaa mmoja hivi umri kwa kukadiria ni kama 30s hivi, au labda ni mdogo ila pombe zimemtafuna. Basi nikawa namuona anatoka chumbani kwa yule dada, roho iliniuma sana kujua kwamba jamaa ndio anapiga, ila nikawa najipa moyo, 'kama sio mpenzi wangu, kinachoniumiza kitu gani sasa' ikanibidi nikubali tu, mambo yakawa yanasonga hivyo hivyo, nikakubali kuwa mnyonge.

Basi bwana; kuna mtu nilimfanyia kazi yake ya graphics, ni mtu mzima kidogo, hiyo siku nikampigia simu, kwa ajili ya malipo, akawa ananizungusha, na hapo ni baada ya kama wiki mbili kupita, ananizungusha tu. Siku hiyo nikaona liwalo na liwe, kwa kawaida mimi nina aibu, na siwezi kumdai mtu fedha kama hajaamua kunipa, ila nitakuwa namkumbusha tuu, kistaarabu.

Basi, nikaenda kununua 'kadadaa' wanywaji mnanielewa, sio walevi, naomba nisisitize hapa. Nikapiga glass kama mbili hivi, ili niwe na confidence ya kumdai, basi napiga simu yake haipatikani, piga sana haipatikani, hiyo ni kama mida ya saa 2 usiku, nikaona hapa natwanga maji kwenye kinu, nikatoka nje, kuna mahala nikakaa, nimeongea peke yangu pale, nikamtukana sana yule mzee ili niondoe hasira zangu mpaka mida kama ya saa nne hivi, nikarudi zangu ndani, nikaendelea na glass yangu.

Ghafla ule mlango wa nje ukawa unafunguliwa. Mimi majirani zangu wakiwa wanaingia tu najua huyu ni nani, basi nikajua ni yule dada kaja, wakati huo nipo WhatsApp hapo, nikaona na yeye yupo online, nikamsalimia, ika blue tick, hakujibu, ghafla naona simu yake inaingia akanambia "Mambo" nikamwambia "kwa Yesu" basi akaanza kucheka, akaniuliza kama nimekuwa mlokole, tukapiga story mbili tatu pale ndipo nikaanza visa sasa. Nikamwambia

"Kumbe juzi ulikuwa na shemeji rafki yangu, umekuwa mama mwenye nyumba sa hivi, nikikusanya tuhela twangu nitakuwa nakupa"

Kama kuna siku yule dada alicheka sana ndio ile, akaniambia "Hapana, yule sio bwana angu, nilimpigia simu aje kunisaidia kufunga kitanda changu, halafu na pazia langu lilikuwa limeanguka so alikiwa anagongelea hapo juu, mana niliona wewe hujarudi"

Pale kidogo hata kamoyo kakanishuka, nikajisikia afadhali kidogo, nikasema haya hakuna shida nikahisi ndio baba yetu huyo" akacheka tena, akaniuliza kama leo nimemuamulia.

Bwana asikufiche mtu, Pombe mbaya, nikajikuta namwambia "siku nikikuamulia unadhani patakalika humu ndani, mana naona kuna mtu ni kama anachezea bahati hivi" akaanza kushangaa, maana hajanizoea hivyo mkristo mimi, " nikamwambia, ni vile tu nina mtu napendana naye, na nina mahusiano ninayotaka niyaishi, ila umeniweza sana"

Bwana yule dada hakuamini anachosikia, akaniuliza "hivi una confidence ya kuongea hivyo mbele yangu, mbona kama sikuelewi"

Mwanaume nikamjibu "Fungua mlango nije nikwambie huku nakuangalia usoni kama huamini" weeeeee, akafungua mlango kweli bwana, nasikia kabisa mlango unafunguka, pombe ilivyokuwa haina adabu, Abdala kichwa wazi asisimame, moja kwa moja nikafungua na mimi wa kwangu naelekea chumbani kwake.....

Ntaendelea.
Duuuh
 
Hii chai ina majani sana tangawiz nyng
Screenshot_20230505-182929.jpg
 
Amani iwe nanyi,

Naomba mnialike rasmi kwenye jukwaa la huba, mgeni wenu natokea majukwaa jirani hapo, hususan Ajira na Tenda.

Basi, nisikuchoshe, kuna kisa kifupi nitasimulia lakini naomba niwahase kitu dada zangu.

'Mwisho wa Siku, Mwanamume atakutamani kwa namna ulivyo, yaani maumbile yako, lakini atakupendea kwa namna unavyoenenda, yaani tabia yako'

Wenzetu kule Ulaya wanasema 'Boys Will be boys' wakiwa wanamaanisha kwamba, ki haiba Wanaume wanachelewa sana kukuwa, hivyo usimshangae jibaba likiwa linafanya mambo ya kitoto. Lakini mambo yamegeuka, dada zangu siku hizi HAMKUI, mmeganda kwenye Ulimbukeni, mnaendeshwa na Ujinga halafu Umri ukikutupa mkono sasa, unakuja JF kuandika vigezo vya Mwanamume unayemtaka, kumbe akili yako haipo tayari kumpokea, mtoto.

TWENDE SAWA.

Baada ya kupigwa na maisha, ambayo bado yanipiga mpaka sasa, nikahamia kilinge kingine hapa Jijini Dar, eneo la Mbezi. Kama ilivyo ada, ukiamia mahali pageni, unakutana na watu wapya. Basi nikakutana na Mdada ambaye anakimbilia miaka 29 hivi sasa, amepanga karibu nami, yani kuta tu imetutenganisha.

Basi katika kuishi kwetu na kuingiliana, zipo nyakati ambazo tukaanza kukaa pamoja tukipiga story za uongo na kweli, na wakati mwingine kuanzia jioni mpaka Usiku sana, tukimaliza kila mtu anatafuta mlango wake anaenda kulala.

Lakini mambo yakawa si Story peke yake tena, upepo ukabadilika, asubuhi moja hivi, kama kawaida Bachelor mimi nikajipikilisha, ubwabwa na samaki wa mchemsho, nikapakua kidogo nikaanza kufungua kinywa, sikuwa najua kama jirani yangu yupo. Naomba ujue kuwa hiyo 'nyumba' tupo watatu, kuna Bachelor mwenzangu ambae si mshindaji kabisa hapa.

Basi tuendelee, siku hiyo bwana sijui kama yeye naye yupo OFF, mi ndio najiandaa kwenda mizunguko huko, ghafla nikaona mlango unafunguliwa, tukasalimiana, nikauliza akanambia kama yupo OFF, basi nikamwambia nitafurahia kama jirani yangu utaonja pishi langu leo, akakubali mwanaume nikaingia chumbani nikala nikajiandaa nikasepa.

Akala, akanitumia mesej kwamba kulikuwa kitamu, basi nikaona fresh nikaendelea na mishe zangu huko. Zikapita kama siku mbili hivi, narudi Job,halafu sina nauli, so ikabidi ni print tu mpaka napokaa, hapo sijui nakula nini home, ila nikaona ngoja nifike kwanza, mengine ntajua huko, nipo njiani ghafla mesej inaingia.

'Jirani kama umerudi, utafungua kabati yako hapo, kuna mzigo nimekuwekea' nikatafakari kidogo, ila ikabidi nikajionee, kwa kweli nilikuwa nahamu ya kujua ni kitu gani, kumbe bwana siku hiyo na yeye kajipikilisha, nafungua ma hotpot, jamani ni hatari, mambo yamenona huko sio poa, nikala siku ile ikabidi nimshukuru na Mungu, maana kwa kweli sikuwa naelewa ningekula nini. Hapa sasa jioni ntajua la kufanya.

Basi hapo ndipo mazoea yetu yakaanza kupanuka sasa, kuna muda tulikuwa tunasaidiana kupika, tunakula wote. Ikawa kawaida sasa,kiukweli yale mazoea yalinifanya nianze kumpenda yule dada, na hakuna namna ningelikataa hilo.

Siku moja wakati narudi home, nimefika hivi nikamkuta mtoto wa mama mwenye nyumba yupo Chumbani kwa yule dada, ni jamaa mmoja hivi umri kwa kukadiria ni kama 30s hivi, au labda ni mdogo ila pombe zimemtafuna. Basi nikawa namuona anatoka chumbani kwa yule dada, roho iliniuma sana kujua kwamba jamaa ndio anapiga, ila nikawa najipa moyo, 'kama sio mpenzi wangu, kinachoniumiza kitu gani sasa' ikanibidi nikubali tu, mambo yakawa yanasonga hivyo hivyo, nikakubali kuwa mnyonge.

Basi bwana; kuna mtu nilimfanyia kazi yake ya graphics, ni mtu mzima kidogo, hiyo siku nikampigia simu, kwa ajili ya malipo, akawa ananizungusha, na hapo ni baada ya kama wiki mbili kupita, ananizungusha tu. Siku hiyo nikaona liwalo na liwe, kwa kawaida mimi nina aibu, na siwezi kumdai mtu fedha kama hajaamua kunipa, ila nitakuwa namkumbusha tuu, kistaarabu.

Basi, nikaenda kununua 'kadadaa' wanywaji mnanielewa, sio walevi, naomba nisisitize hapa. Nikapiga glass kama mbili hivi, ili niwe na confidence ya kumdai, basi napiga simu yake haipatikani, piga sana haipatikani, hiyo ni kama mida ya saa 2 usiku, nikaona hapa natwanga maji kwenye kinu, nikatoka nje, kuna mahala nikakaa, nimeongea peke yangu pale, nikamtukana sana yule mzee ili niondoe hasira zangu mpaka mida kama ya saa nne hivi, nikarudi zangu ndani, nikaendelea na glass yangu.

Ghafla ule mlango wa nje ukawa unafunguliwa. Mimi majirani zangu wakiwa wanaingia tu najua huyu ni nani, basi nikajua ni yule dada kaja, wakati huo nipo WhatsApp hapo, nikaona na yeye yupo online, nikamsalimia, ika blue tick, hakujibu, ghafla naona simu yake inaingia akanambia "Mambo" nikamwambia "kwa Yesu" basi akaanza kucheka, akaniuliza kama nimekuwa mlokole, tukapiga story mbili tatu pale ndipo nikaanza visa sasa. Nikamwambia

"Kumbe juzi ulikuwa na shemeji rafki yangu, umekuwa mama mwenye nyumba sa hivi, nikikusanya tuhela twangu nitakuwa nakupa"

Kama kuna siku yule dada alicheka sana ndio ile, akaniambia "Hapana, yule sio bwana angu, nilimpigia simu aje kunisaidia kufunga kitanda changu, halafu na pazia langu lilikuwa limeanguka so alikiwa anagongelea hapo juu, mana niliona wewe hujarudi"

Pale kidogo hata kamoyo kakanishuka, nikajisikia afadhali kidogo, nikasema haya hakuna shida nikahisi ndio baba yetu huyo" akacheka tena, akaniuliza kama leo nimemuamulia.

Bwana asikufiche mtu, Pombe mbaya, nikajikuta namwambia "siku nikikuamulia unadhani patakalika humu ndani, mana naona kuna mtu ni kama anachezea bahati hivi" akaanza kushangaa, maana hajanizoea hivyo mkristo mimi, " nikamwambia, ni vile tu nina mtu napendana naye, na nina mahusiano ninayotaka niyaishi, ila umeniweza sana"

Bwana yule dada hakuamini anachosikia, akaniuliza "hivi una confidence ya kuongea hivyo mbele yangu, mbona kama sikuelewi"

Mwanaume nikamjibu "Fungua mlango nije nikwambie huku nakuangalia usoni kama huamini" weeeeee, akafungua mlango kweli bwana, nasikia kabisa mlango unafunguka, pombe ilivyokuwa haina adabu, Abdala kichwa wazi asisimame, moja kwa moja nikafungua na mimi wa kwangu naelekea chumbani kwake.....

Ntaendelea.
.....
 
Mwanaume nikamjibu "Fungua mlango nije nikwambie huku nakuangalia usoni kama huamini" weeeeee, akafungua mlango kweli bwana, nasikia kabisa mlango unafunguka, pombe ilivyokuwa haina adabu, Abdala kichwa wazi asisimame, moja kwa moja nikafungua na mimi wa kwangu naelekea chumbani kwake.....

TUNAENDELEA........

Nilikiwa nipo High, yaani nimelewa, kiukweli ile gongo ya kizungu inapanda taratibu, mara ya kwanza nilidhani nipo sawa tu, kwa sababu niliona imepanda taratiiiibu halafu naweza kuongea vizuri,na sikuwa nayumba...

Nikafungua mlango wangu, nikazama chumbani kwake, kwa mara ya kwanza nikiwa naingia ndani kwake, nikajua kumbe taa yake ina rangi rangi, huwa anazima na kuwasha inajibadili, yeye akiwa kwenye kanga aliyofunga mpaka kwenye kwenye kifua, nadhani alikuwa akijiandaa kuoga. Nikamuangalia usoni, nikaona kanikazia macho, halafu kama ananiangalia kwa wasi wasi, nikajihisi kama nimeshtukiwa hivi, mana sikuwahi kumwambia kama huwa nakata vyombo. Ikabidi niwe mpole.

"Haya, ongea nikusikia jirani, maana nilikuwa siamini amini kwenye simu" akaniambia, mi bwana na ma confidence yote, nikafunguka, "Nisikudanganye Recho (Jina si halisi), mara nyingi nakuwaga mfuko mweupe sana, ila nikirudi nikakukuta unapika, kisha unaniambia nipumzike nisiondoke bila kula, huwa nauona Uwanaume wangu, yaani naona kama unaniheshimisha sana, kiukweli kwa yote umeyafanya nimejikuta naingiwa na upendo, unanipa wakati mgumu sana"

Wakati huo nimebana abdala kichwa wazi kwenye boxer, nimetuliza, kwa hiyo kunaonekana fresh tuu, juu nina vest, natema madini nipo kitandani.. alichokuwa ananikera mwenzangu ni kucheka cheka vile, alikuwa ananikata mood, kuna muda nikawa najihisi 'au kajua kama nimelewa halafu anani enjoy hapa' nikamuangalia, nikamwambia 'naomba usicheke, nipo serious' basi nikaona kachomeka simu chaji, halafu design kama karudishia vizuri mlango, maana jirani yetu yule mwingine alikuwa keshambonji muda mrefu sana.

Nikaona ananiambia, "Diwani wewe upo kwenye mahusiano, ila mimi nilikwambia niliyowahi kupitia huko nyuma"

Recho bwana aliwahi kunisimulia kisa kimoja hivi, kumbe alishawahi kutolewa mahari, akakaa na bwana wake Tanga, wamekaa kama mwaka hivi, akawa hamuelewi mwenzie, mara arudi usiku sana, mara awe mkali ghafla tuu, akasema kwamba jamaa alipandishwa cheo kazini,so na vihela vikaongezeka, akawa anahisi hela zinamzuzua.

Baada ya muda alikuja kushtuka kumbe jamaa ana mwanamke mwingine tayari, na amempangia chumba maeneo ya pale pale Tanga mjini. Walikuja kugombana mpaka kufikia mahakamani sasa, kwa hiyo tangu kipindi hiko yupo peke yake, na hiyo ni tangu 2021, mwishoni, so hataki kabisa mahusiano, alirudi kwao Moro akakaa kama mwaka kabla ya kuja Dar kuanza maisha yake, so alikuwa muoga muoga hivi.

Kwani unadhani mimi hapo hata nilikuwa namsikiliza? Yaani halmashauri za kichwa cha chini hazielewi, nikajikuta nimetamka " mimi nimeamua kuwa mkweli, kama utanikataa poa, ukikubali poa kwa sababu sielewi haya yote yamekuwaje, ila wewe unajua" akanikata jicho flani hivi, kama sekunde kadhaa za kuniangalia hivi nikamshika mkono, nikaona hana nongwa, nikaushika na mikono miwili, akaniambia anataka kulala, nikamwambia "utanipa usiku wa shida sana, ila nitajifariji kwa sababu nimeshakwambia kazi ni kwako" akaniuliza "kwani we unataka nini" nikamwambia 'nilichokuwa nataka nimeshakipata, ni kusema tuu mbele yako niliyosema kwenye simu' basi nikamuona amepandisha na mkono wake mwingine ili nimshike pia, kumbe ile kanga yake ilikuwa ni kama imelegea,akawa anabana na viwiko vya mikono ili isianguke. Nikamwambia asijali, nikamuachia mikono nikasema 'ipandishe tu'

Toka hapo sikuamini nilicho kuwa nakiona mbele yangu, kama nilikuwa naota au ni kweli, yule dada aliishusha ile kanga, kifuo chote kipo wazi, niliweweseka kidogo pale ndio nikajua dawa ya pombe sio supu. Nikamuona kasimama halafu kaenda ku lock mlango.

Kitasa cha mlango wake ni kibovu, so hakifungi, kinatumia lock ya funguo tuu, mwenzangu baada ya kulock, akapandisha mkono kushoto pale pale kwa juu, akazima taa. Jamani, pombe mbaya, ila siku ile niliona msaada wake, kwa kweli ile ni zaidi ya Vita, alisuguliwa mtu mpaka nikawa najiuliza kama ni mimi au mwingine. Tangu hiyo saa tano, nikajikuta nimelala kule kule, feni linapepea, nakuja kushtuka ni saa 10 alfajiri. Uzuri wake ilikuwa tunaamkia jumamosi, ingawa yeye bado anaenda kazini siku hiyo, nikamuona bado amelala pale.

Nikanyanyuka taratibu natoka yeye bado kalala tu, nikaenda ndani kwangu kumalizia usingizi, na pombe yote imekata, nipo kwenye hangover tu. Nikawa nakumbuka ile game ya ule usiku.

Ghafla nikaanza kusinzia sinzia, ingawa nilikiwa najisikia vibaya, yani kama kutapika hivi. Ila sikutapika, nilipata muda wa kulala, nikalala tena. Nimekuja kushtuka saa moja, nikatoka nje niende kula supu, nakuta mlango wake upo wazi. Nikawa naita 'Jirani, jirani' kimya.

Kumbuka huu mlango ni mpaka ufunge na lock ya funguo. So wakati naita hakuitikia, mi nikaona isiwe kesi, sahani uliyoliya yako tena, nikazama ndani, wakati huo jamaa wa chumba kingine hapa akawa amewasha redio yake anasikiliza.

Nimefika ndani, nikamkuta kalala, bado feni linapepea tu, nikawa namuamsha, akaamka. 'Mambo' akanisalimia, nikamuona kama anageuka kwa tabu hivi, nikamwambia aamke 'au kazini hauendi leo' akaniambia 'nipe simu' nikampa.

Nikamsikia anaongea na bosi wake anamuomba ruhusa hatoweza kufika kwa sababu anaumwa. Mi nikaona hata, isiwe tabu, ngoja nimuache kwanza, akaniomba nimkumbatie akiwa amelala vile, Mwanamume nikafanya hivyo.

Sasa, muda kidogo nikaendelea na ratiba yangu, wakati narudi ikaingia simu. Kucheki ni 'babe' ananipigia, akaniuliza 'upo home'?
Nikajibu 'ndio ila nataka kutoka' akanambia 'nisubiri kidogo nakuja'

Akakata timu...

Ntaendelea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom