kukosa mkopo mtu wa pharmacy

my life

Member
Sep 20, 2012
30
10
jamani naombeni msaada wenu wa kimawazo nimechaguliwa pharmacy muhas but sioni jina langu nifaneje wapendwa
 
Wewe mkopo hupo angalia reserve lonee rist kama utakua haumo bac fika bila kuchelewa hapo msasan main kampac ya bod
 
Hawa heslb watakua wanafanya vitu ambayo havieleweki maana according to their guidelines and criteria of loan issuance mwaka huu pharmarcy ni moja kati ya program saba ambazo zina 100% loan award,so jaribu kuangalia kama upo kwenye list ya waliokosea if not so fika ofisi zao!
 
Pole sana ndugu yangu hatua ya kwanza angalia hile list ya tcu ambayo wametoa majina na vyuo vyote hukikosa nenda kwenye reserve list ya heslb hukikosa wapandie mjengoni kule wanakopaita Complex msasani kimweri road huku ukimtanguliza Mungu mbele awa jamaa wanaitaji maombi.
 
Back
Top Bottom