Hawa heslb watakua wanafanya vitu ambayo havieleweki maana according to their guidelines and criteria of loan issuance mwaka huu pharmarcy ni moja kati ya program saba ambazo zina 100% loan award,so jaribu kuangalia kama upo kwenye list ya waliokosea if not so fika ofisi zao!
Pole sana ndugu yangu hatua ya kwanza angalia hile list ya tcu ambayo wametoa majina na vyuo vyote hukikosa nenda kwenye reserve list ya heslb hukikosa wapandie mjengoni kule wanakopaita Complex msasani kimweri road huku ukimtanguliza Mungu mbele awa jamaa wanaitaji maombi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.