Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
- Ahsante sana ndugu yangu ndio uzuri wa JF yaani Great Thinkers ni wengi sana na so is mazumbukuku pia, si unajua kwenye msafara wa mamba mikenge huwa haikosi! ha! ha! ha! ha! ha! People huu ni mwendo wa kujivua gamba ukifanya mchezo unabaki na gamba kama kobe mpaka mwisho wa dunia! ha! ha! ha!, MUCH RESPECT PEOPLE!
- Unajua people I am humbled na the strong response, ina maana kwamba we are on the right track na kujivua gamba, wengine ni lazima tulikomboe taifa letu kutokea kwa ndani na wengine mkitokea kwa nje, nia na madhumuni ni moja tu TAIFA KWANZA!
William @ NYC, USA.
Willy !
Kidumishe chama mkuu
Wasikunyime usingizi hawa jamaa, kwanza wametoka kwenye maandamano, ha ha ha!!!