babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 340
- 850
Wakuu kwema.. Hivi hawa watu nyie mnawezaje kuishi nao? Mbona ni watu wenye uelewa mdogo sana na huu mchezo wa soka?
Kuna jamaa zangu ni mashabiki wa Simba hapo juzi kabla ya mchezo wa Simba na Prisons walikuwa wakisema Simba ni timu tishio Africa, Aly Ahly, Mamelodi, Tp Mazembe wote kwa sasa wanaiogopa Simba, timu yeyote itayokuja mbele yao itapigwa goli kuanzia 6 na kuendelea..
Sasa mara baada ya mechi kuisha na Simba kupigwa goli 2-1 Maneno yao yamegeuka, utawasikia ooh Simba ni hovyo sana, pale hakuna timu, Uongozi haufai, tumesajili magarasa. Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema timu nzima imejaza wazee, mara yule benchikha hamna kocha pale anabebwa na uwezo wa Chama tu....
Hivi nyie huko mtaani kwenu mnawezaje kuishi na viumbe vigeugeu wa namna hii??
Kuna jamaa zangu ni mashabiki wa Simba hapo juzi kabla ya mchezo wa Simba na Prisons walikuwa wakisema Simba ni timu tishio Africa, Aly Ahly, Mamelodi, Tp Mazembe wote kwa sasa wanaiogopa Simba, timu yeyote itayokuja mbele yao itapigwa goli kuanzia 6 na kuendelea..
Sasa mara baada ya mechi kuisha na Simba kupigwa goli 2-1 Maneno yao yamegeuka, utawasikia ooh Simba ni hovyo sana, pale hakuna timu, Uongozi haufai, tumesajili magarasa. Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema timu nzima imejaza wazee, mara yule benchikha hamna kocha pale anabebwa na uwezo wa Chama tu....
Hivi nyie huko mtaani kwenu mnawezaje kuishi na viumbe vigeugeu wa namna hii??