Kuijumuisha Al Hilal ya Sudan kwenye ratiba ya ligi ya NBC ni jambo la kupongeza

Hahaha hapo mwisho..kashikashi wanazo wenyewe..hakuna media za magharibi za kupromot kashikash zao ndo maana hazisikiki..kama za ukanda wa gaza na Israele..
By the way hii kitu ina afya kweli? Any way ngoja tuone..muda si mrf vitazaliwa vitoto vya kisudani huko daslam...
Kitambo sana sijasikia habari za Sudan zaidi ya kuona tu Al Hilal imehama na wale madaktari wanafunzi waliokimbilia TZ.

Mara ya mwisho ni kama miaka 3 iliyopita kwenye zile kashkash za maandamano yaliyokuwa yanaongozwa na yule mdada kumuondoa Bashir. Nadhani jeshi lilizingua walipochukua madaraka, ni kama waliwatenga waandamanaji. Ile ndiyo ilikuwa mara ya mwisho kufuatilia au kusikia mambo ya ndani ya Sudan.
 
Kitambo sana sijasikia habari za Sudan zaidi ya kuona tu Al Hilal imehama na wale madaktari wanafunzi waliokimbilia TZ.

Mara ya mwisho ni kama miaka 3 iliyopita kwenye zile kashkash za maandamano yaliyokuwa yanaongozwa na yule mdada kumuondoa Bashir. Nadhani jeshi lilizingua walipochukua madaraka, ni kama waliwatenga waandamanaji. Ile ndiyo ilikuwa mara ya mwisho kufuatilia au kusikia mambo ya ndani ya Sudan.
Yani habari zake hazijapewa kipaumbele kabisa..
 
mimi si mtu wa mpira sana ila ningeweza shauri mambo mawili tu;
1. A hilal wangepewa shauri ya kununua timu mojawapo inayoshiriki ligi kuu waiendeleze hiyo timu.waibadili na jina kabisa
2. Au waende ligi ya zanzibar, kwa ajili ya kukuza ligi ya zanzibar....wajumlishwe huko waanze kupambana mapema, watatusaidia kutangaza ligi zetu za kitanzania hasa watakapokuwa wakishiriki mashindano ya kitaifa "Champions/confederation"
 
mimi si mtu wa mpira sana ila ningeweza shauri mambo mawili tu;
1. A hilal wangepewa shauri ya kununua timu mojawapo inayoshiriki ligi kuu waiendeleze hiyo timu.waibadili na jina kabisa
2. Au waende ligi ya zanzibar, kwa ajili ya kukuza ligi ya zanzibar....wajumlishwe huko waanze kupambana mapema, watatusaidia kutangaza ligi zetu za kitanzania hasa watakapokuwa wakishiriki mashindano ya kitaifa "Champions/confederation"
Hilo la Zanzibar nalo nililifikiria ila nadhani siasa za Zanzibar ziko sensitive zaidi kuliko Bara. Ila kama unavyosema wangejumuishwa kule wangeweza kuongeza timu za TZ zenye ushindani kimataifa.

Hivi utaratibu siku hizi upoje wa timu za Zanzibar kwenye mashindano ya CAF maana najua Mlandege walishiriki mwaka huu ila sikumbuki hata walipatikanaje?
 
Hilo la Zanzibar nalo nililifikiria ila nadhani siasa za Zanzibar ziko sensitive zaidi kuliko Bara. Ila kama unavyosema wangejumuishwa kule wangeweza kuongeza timu za TZ zenye ushindani kimataifa.

Hivi utaratibu siku hizi upoje wa timu za Zanzibar kwenye mashindano ya CAF maana najua Mlandege walishiriki mwaka huu ila sikumbuki hata walipatikanaje?
Upande wa Zanzibar wanatoa timu kucheza mashindano ya CAF champions league
 
Kujumuisha point zake ingekuwa ngumu maana ingebidi kubadili kanuni mbalimbali za ligi au kuwapa msamaha maalumu mfano kwenye issue ya idadi ya wachezaji wa kigeni. Pia ingeathiri utaratibu au idadi ya timu zinazotakiwa kupanda daraja kwa hiyo inawezekana wakaona mambo yasiwe mengi.

Mechi zao zitakuwa kama za kirafiki kwa hiyo nadhani hata ikitokea siku mechi imeahirishwa haitakuwa jambo kubwa. Pia nadhani wao Al Hilal ndiyo watakuwa wanasafiri sidhani kama timu zitakuwa zinasafiri kuifuata.

Al Hilal ni timu kubwa msiichukulie poa, sidhani kama tungehoji hivi kama ingekuwa ni Esperance au Al Ahly.
Chief
Kwangu sio kuhoji ....
Nilikua tu natamani kuelewa vizuri sababu sio kitu tumewahi kukiexperience huko nyuma na nikawa nawaza sawa point hazijumuishwi ,Je utaratibu itakuaje wa kucheza mechi zao nk...

Shukran kwa ufafanuzi kiongozi.
 
Kaskazini kaka hakuna udini.
Kaskazini shida madaraka.
Sudan kaskazini jamii kubwa ni shombe pia jamii kubwa waislam ila uroho wa madaraka wa makamanda wawili unaua raia.
1. Kama hakuna udini, je kuna makanisa?
2. Je, watu wanaabudu kwa uhuru?
3. Mbona sharia ndiyo katiba yao huko kama hakuna udini?
 
Tumesikia mipango ipo mbioni kuijumuisha timu ya Al Hilal ya Sudan katika ratiba ya NBC kuanzia msimu ujao. Kuna wakati niliwahi kuwaza hili jambo nilipoona wakati ule wanatanga tanga, nikataka kushauri hili kufanyika na nimefurahi kujua kumbe pale TFF kuna watu wana uwezo wa kufikiria mambo yenye tija kwa ligi yetu.

Nakumbuka mwezi January nilishangaa kwa nini hawakujumuishwa katika mashindano yaliyopita ya Kombe la Mapinduzi wakati walikuwepo hapa hapa.



Pamoja na kwamba maelezo ya kina hayajatangazwa isipokuwa tumeambiwa matokeo ya mechi zao hayatajumuishwa katika msimamo wa ligi, ningeshauri pia ikiwezekana katika makubaliano yatakayofikiwa na Al Hilal, wachaguliwe vijana kadhaa, hata kama ni 3 walio katika vikosi vya taifa vya U-17 au U-20 na wawe tayari kuwaingiza katika kikosi chao kama sehemu ya vijana hao kupata mafunzo na uzoefu.

Big up sana kwa TFF kwa hili jambo. Kwenye hili mmeupiga mwingi.

Cha nyongeza, hivi hiyo vita ya Sudan mbona kama ipo kimya kimya sana maana sisikii kabisa kashkash zake?
Hivi wale madaktri wa kike walioletwa kumalizia masomo yao hapo Muhimbili bado wapo?
 
1. Kama hakuna udini, je kuna makanisa?
2. Je, watu wanaabudu kwa uhuru?
3. Mbona sharia ndiyo katiba yao huko kama hakuna udini?
1)Makanisa yapo japo kwa uchache.
Hakuna udini kwasababu kwa wingi wa waarabu na uislam kuwa wingi hawajaona sababu ya kuanzisha religious biasness hivyo dini zote wanaishi poa tu maana ulinzi wao ni wingi wa dini na asili yao.
2)Nadhani ndio wanaabudu kwa Uhuru maana hakukuwahi kutokea malalamiko ya ukinzani wa uhuru wa kuabudu huko Sudan Kaskazini na Hiba Morgan aljazeera correspondent katokea huko na amelithibitisha hilo.
3)Sharia ndio katiba yao kwasababu majority ya population ni islams.Ila pia kuna namna zingine za kisheria zinatumika kimahakama.
 
Yani waarabu ni katili mnoo...wanatakiwa dunia yao kivyao..
Hamna mkuu kuna jamii na jamii.
Mbona Qatar,Bahrain,UAE,Kuwait n.k watu wanaishi kistaarabu tu!?
Sema kuna baadhi ya jamii za kiarabu kama za Oman zina ushenzi mwingi.
Pia hawa waarabu wa Afrika ni waarabu koko ndio wanaoleta shida hata waarabu wenyewe wanawashangaa.
 
India waliona siyo tabu wakawapa eneo lao (Pakistan) lkn bado yanapigana tu.
Hapana mkuu Pakistan sio waarabu.
Na Pakistan hawajapewa ardhi na India,there is history behind.
Pia hao Wahindi ndio makatili waarabu wakasome tena wanaongoza kwa UKATILI WA KIJINSIA WAKIFUATIWA NA S.AFRIKA.
 
nilikuwa napitia pitia vichwa vya habri ,Nikakutana na hii Sijui wenzangu wenye michezo yenu mnaionaje hii.Je itakwenda kutia chachu na kuinua soka letu Tanzania ? Je ndio kusema ligi yetu imekuwa kubwa mpka kufika huku ? Sababu walikuwa na uwezo kwenda moroco,south,congo lakini why Tanzania? Kwa mm nimefurahisha na hili.
2034506973.jpg
 
Mambo gani tena hao TFF wanataka kutuletea..?? Timu ya nchi nyingine mtailetaje kucheza kwenye ligi ya nchi nyingine..
Inaweza kutokea, lakini kawaida ni kwa sababu za kipekee. Kwa mfano, kama nchi inakabiliwa na vita au mazingira hatari ambayo yanazuia uendeshaji wa ligi ya ndani, basi klabu inaweza kuamua kutafuta fursa ya kucheza ligi katika nchi nyingine. Hata hivyo, hii inahitaji idhini na ushirikiano wa vyama vya soka vinavyohusika katika nchi zote mbili. Kwa hiyo, ingawa inawezekana kwa Al Hilal ya Sudan kucheza katika ligi kuu ya Tanzania kwa sababu za kipekee, utaratibu na idhini zinahitajika.
 
Back
Top Bottom