Naomba kuuliza.nina kompyuta aina ya dell,monitor ni flat screen sasa kwenye hii monitor kuna USB port 3.je?naweza kutumia?kama ndio vipi?ntashukuru kwa watakao nifumbua.
So niachane nazo.maana niliuliza.ingenirahisishia kazi.CPU iko chini sasa kuinaina kuweka modem au flash,inanipa shida sn.ila kwenye screen ingekua mzuka sana.