Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Hili neno au hii habari inasemwa sana mitaani, kwamba mwanaume atakaemvunja bikira mwanamke husika.
Inasemwa mwanamke huyo hatomsahau milele! Na hata ipite miaka mingapi na yuko katika mahusiano ya kindoa, pindipo mvunja utepe akiomba lazima apewe.
Nawaomba wenye mnasaba na hii maneno mnifungukie.
Inasemwa mwanamke huyo hatomsahau milele! Na hata ipite miaka mingapi na yuko katika mahusiano ya kindoa, pindipo mvunja utepe akiomba lazima apewe.
Nawaomba wenye mnasaba na hii maneno mnifungukie.