FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
kuhonga ni kutoa rushwa ya ngono,pesa or anything ili upate kitu ulichodhamilia kukipata
aah uko juu..! sasa ni nini nia halisi ya kuhonga kama sio kutegemea service flani..?
hahhhhahhaha bishanga usiseme kuna watu wanakipajo cha kuhonga, anahonga hadi nauli
wakati unafukuzia si lazima ulipwe ile huwa 'nahonga kwa ajili ya point na si kukamua'hii husaidia kuwashinda kompetitaz wengine
ila baada ya makubaliano unahonga kuweka munkari kwenye penzi
sio kuhonga paleee..! pale ni kukupa zawadi buwana sio kukuhonga tena kama ni kukuhonga alishakuhonga siku nyingi saaana auuuu>!!!!!!!!!!!!!!!?????
Wewe unahonga wapi wakati mangi pale dukani anakudai kilo moja ya unga ulioenda kukopa juzi..
mwingine akishakupata kuhonga kunaisha. Kwikwikwi
hivi umesha wahi kujiuliza kua utajisikiaje pale unapohonga demu halafu kumbe na yeye anakidume kinacho pewa hela na mapochopocho unayo mpa demu..! halafu mzee umefanya hivyo for about four years na unakuja kugundua...! daaaaah
karibu sana kwenye kijiwe cha wahongaji..! inaelekea na wewe ni mmoja wao au vipi..?