Kufurahia, kusemwa na hata kujivunia kabila lako sio kosa au dhambi

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
38,399
47,802
Dhana ya makabila na ukabila huwa inafanyiwa upotoshaji kwa makusudi au kukosa uelewa hasa na wanasiasa kwamba watu kutambuana kwa makabila yao, kusemwa kwa makabila yao na kufurahiwa kwa makabila yao ni makosa makubwa au dhambi.

Huu ni upotoshaji mbaya sana, kote duniani kuna nchi nyingi tu watu wanatambuana, wanasemwa au kufurahiana kwa makabila yao au nasaba zao bila ubaguzi wowote. Ubaguzi ndio jambo baya, watu kutambuana kwa tofauti zao za makabila au nasaba sio jambo baya.

Hapa Tanzania Polisi kabila ni mojawapo ya utambulisho wa mtu, watu wamekuwa wakitaniana kwa makabila yao kwa muda mrefu tu bila shida yoyote.

Ubaguzi kwa misingi ya ukabila, siasa, dini, rangi n.k ndio jambo baya.
Mtu anaweza kujivunia kabila lake bila kuwa mbaguzi, mtu kujivunia kabila lake hakumfanyi kutokuwa Mtanzania mzalendo. Mtu anaposema yule Msukua, Mnyakyusa, Mchaga au Mzaramo ni tajiri sana hajafanya ubaguzi, pia akisema ni mkatili sana hajafanya ubaguzi pia, tuachane na upotoshaji na "petty issues".
 
Kuna shida ninaiona katika mitandao ya kijamii.
Ngozi nyeusi akisimama na kusema" I'm proud to be Black" hasakamwi.
Muhindi nae akijisifia uhindi wake hasakamwi.
Mlatino ama mwarabu vile vile ila mzungu akisema "I'M PROUD TO BE WHITE"
atashambuliwa kila kona.
Kwanini mtu mweupe iwe Nongwa kujivunia weupe wake?.
 
Kuna shida ninaiona katika mitandao ya kijamii.
Ngozi nyeusi akisimama na kusema" I'm proud to be Black" hasakamwi.
Muhindi nae akijisifia uhindi wake hasakamwi.
Mlatino ama mwarabu vile vile ila mzungu akisema "I'M PROUD TO BE WHITE"
atashambuliwa kila kona.
Kwanini mtu mweupe iwe Nongwa kujivunia weupe wake?.
Sahihi mkuu
 
Dhana ya makabila na ukabila huwa inafanyiwa upotoshaji kwa makusudi au kukosa uelewa hasa na wanasiasa kwamba watu kutambuana kwa makabila yao, kusemwa kwa makabila yao na kufurahiwa kwa makabila yao ni makosa makubwa au dhambi.

Huu ni upotoshaji mbaya sana, kote duniani kuna nchi nyingi tu watu wanatambuana, wanasemwa au kufurahiana kwa makabila yao au nasaba zao bila ubaguzi wowote. Ubaguzi ndio jambo baya, watu kutambuana kwa tofauti zao za makabila au nasaba sio jambo baya.

Hapa Tanzania Polisi kabila ni mojawapo ya utambulisho wa mtu, watu wamekuwa wakitaniana kwa makabila yao kwa muda mrefu tu bila shida yoyote.

Ubaguzi kwa misingi ya ukabila, siasa, dini, rangi n.k ndio jambo baya.
Mtu anaweza kujivunia kabila lake bila kuwa mbaguzi, mtu kujivunia kabila lake hakumfanyi kutokuwa Mtanzania mzalendo. Mtu anaposema yule Msukua, Mnyakyusa, Mchaga au Mzaramo ni tajiri sana hajafanya ubaguzi, pia akisema ni mkatili sana hajafanya ubaguzi pia, tuachane na upotoshaji na "petty issues".
Ni kama vile wazungu ndiyo wanaopaswa kubaguliwa.
 
Dhana ya makabila na ukabila huwa inafanyiwa upotoshaji kwa makusudi au kukosa uelewa hasa na wanasiasa kwamba watu kutambuana kwa makabila yao, kusemwa kwa makabila yao na kufurahiwa kwa makabila yao ni makosa makubwa au dhambi.

Huu ni upotoshaji mbaya sana, kote duniani kuna nchi nyingi tu watu wanatambuana, wanasemwa au kufurahiana kwa makabila yao au nasaba zao bila ubaguzi wowote. Ubaguzi ndio jambo baya, watu kutambuana kwa tofauti zao za makabila au nasaba sio jambo baya.

Hapa Tanzania Polisi kabila ni mojawapo ya utambulisho wa mtu, watu wamekuwa wakitaniana kwa makabila yao kwa muda mrefu tu bila shida yoyote.

Ubaguzi kwa misingi ya ukabila, siasa, dini, rangi n.k ndio jambo baya.
Mtu anaweza kujivunia kabila lake bila kuwa mbaguzi, mtu kujivunia kabila lake hakumfanyi kutokuwa Mtanzania mzalendo. Mtu anaposema yule Msukua, Mnyakyusa, Mchaga au Mzaramo ni tajiri sana hajafanya ubaguzi, pia akisema ni mkatili sana hajafanya ubaguzi pia, tuachane na upotoshaji na "petty issues".
Ingawa hujatoa mifano kwa nchi zingine wanaojivunia ukabila, binafsi naunga mkono hoja yako. Mimi ni Mhaya na najivunia kuwa Mhaya ila haiondoi ukweli kwamba Utanzania upo damuni mwangu!
 
Ingawa hujatoa mifano kwa nchi zingine wanaojivunia ukabila, binafsi naunga mkono hoja yako. Mimi ni Mhaya na najivunia kuwa Mhaya ila haiondoi ukweli kwamba Utanzania upo damuni mwangu!
Marekani Biden anajivunia kwa mu-Irish, na kuna Wamarekani wengi wanajivunia hadi viongozi wakubwa wanajivunia kuwa Wa-Irish, Waitaliano, Blacks, Wahindi n.k
 
Sio issue wala kuipa muda wa kuongelea ni kupoteza rasimali muda unless mnatambika au mnataniana....

Ukiniambia mimi ni msukuma, mchagga au whatever wakati sijakuuliza nadhani pia ni kupoteza muda wako..., kuona kabila fulani ni inferior au superior kuliko mengine ni kufirisika kifikra soon or later utaanza kuangalia vitu kwa jicho la kabila na sio character ya mtu.... na huko tumetoka karne kadhaa zilizopita...
 
Marekani Biden anajivunia kwa mu-Irish, na kuna Wamarekani wengi wanajivunia hadi viongozi wakubwa wanajivunia kuwa Wa-Irish, Waitaliano, Blacks, Wahindi n.k
Ni kweli hilo na usisahau America "is a no man country" maana yake Kila mtu kuna mahalo ametoka. Mimi Mhaya nimetoka Kiziba, Kagera humu Tanzania na Sina kwingine.
 
Sio issue wala kuipa muda wa kuongelea ni kupoteza rasimali muda unless mnatambika au mnataniana....

Ukiniambia mimi ni msukuma, mchagga au whatever wakati sijakuuliza nadhani pia ni kupoteza muda wako..., kuona kabila fulani ni inferior au superior kuliko mengine ni kufirisika kifikra soon or later utaanza kuangalia vitu kwa jicho la kabila na sio character ya mtu.... na huko tumetoka karne kadhaa zilizopita...
KILA kabila lina mambo yake mazuri na mabaya pia,
Tjifunze "Unity in diversty"
 
KILA kabila lina mambo yake mazuri na mabaya pia,
Tjifunze "Unity in diversty"
Kuamini kwamba kabila / tabia / culture ipo ingrained kwenye genes hivyo kila mtu wa kabila hilo atakuwa swept under one blanket na hivyo ku-judge wote wa kabila hilo kwa generalization fulani huko ni kupotoka...; Tamaduni ndio zinafanya watu wa sehemu fulani wawe na fikra fulani na kwa jamii ya sasa yenye machotara wa kila kona hizo tofauti zinayeyuka by the day....
 
Kuna shida ninaiona katika mitandao ya kijamii.
Ngozi nyeusi akisimama na kusema" I'm proud to be Black" hasakamwi.
Muhindi nae akijisifia uhindi wake hasakamwi.
Mlatino ama mwarabu vile vile ila mzungu akisema "I'M PROUD TO BE WHITE"
atashambuliwa kila kona.
Kwanini mtu mweupe iwe Nongwa kujivunia weupe wake?.
Sababu ni inferiority complex ya hao wengine. Hawajiamini na wanataka validation toka kwa whites
 
Back
Top Bottom