Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Hivi kuna watu ambao USIKU WA siku ya ndoa hawa BANJUKI??
Note: Wote wako vizuri kiafya
Note: Wote wako vizuri kiafya
Yaaap ndio ni wengi mnoo..... Asilimia kubwa ya wanaooana wanatakuwa either wamesha ishi pamoja sana tu au ni wapenzi wa muda mrefu. Sasa hapo hamu ya kuchakatana inapungua maake mnajuana na style zote mlishapeana ....hivi kuna watu ambao USIKU WA siku ya ndoa hawa BANJUKI??
note:wote wako vizuri kiafya
Wengi tuu. Wengibe tarehe zinaangukia wanakuwa bleedhivi kuna watu ambao USIKU WA siku ya ndoa hawa BANJUKI??
note:wote wako vizuri kiafya
mmh..Wengi tuu. Wengibe tarehe zinaangukia wanakuwa bleed
kwahiyo mkitoka pale ukumbini..mnaenda kuhesabu zawadi zetu mlizotuzwa?Mkuu umekariri vibaya sana
Na mm ua najiuliza na sipati majibu labda kama kuna mtu anaejua anisaidieHivi kuna watu ambao USIKU WA siku ya ndoa hawa BANJUKI??
Note: Wote wako vizuri kiafya
Hakuna muongozo maalumu.. Ipo natural tu..!! Hivi unaagaje kuwa unakwenda honey moon halafu usitoe mbususu, tena kwa mume wa ndoa?Na mm ua najiuliza na sipati majibu labda kama kuna mtu anaejua anisaidie
Hiyo siku ukiolewa either kwa waislamu au wakristu ni lazima mfanye tendo la ndoa yaani ni Sheria kuwa ni lazima mfanye au hakuna ulazima mtaamua wenyewe????
Kwa sasa hakuna bhana mshazoeana hakuna ule mzuka ila ingekuwa enzi hizo watu hawajuani wapo na genye hatari lazima mmeganeNa mm ua najiuliza na sipati majibu labda kama kuna mtu anaejua anisaidie
Hiyo siku ukiolewa either kwa waislamu au wakristu ni lazima mfanye tendo la ndoa yaani ni Sheria kuwa ni lazima mfanye au hakuna ulazima mtaamua wenyewe????
Siongelei honeymoon yote naongelea usiku mmoja ule wa ndoaHakuna muongozo maalumu.. Ipo natural tu..!! Hivi unaagaje kuwa unakwenda honey moon halafu usitoe mbususu, tena kwa mume wa ndoa?
NimekuelewaKwa sasa hakuna bhana mshazoeana hakuna ule mzuka ila ingekuwa enzi hizo watu hawajuani wapo na genye hatari lazima mmegane
kama hamkuwahi kufanya haya mambo basi huo usiku unakua special ila kama mlishazoeana kwa hiyo hakuna jipya kama bado hujamla hapo sasa ndo siku yako ya kumuona uchi kwa mara ya kwanza lazima upige mashineHivi kuna watu ambao USIKU WA siku ya ndoa hawa BANJUKI??
Note: Wote wako vizuri kiafya
Hivi ikiangukia kwenye bleed hua honeymoon inaendeka kweli?Wengi tuu. Wengibe tarehe zinaangukia wanakuwa bleed
lazima!!Na mm ua najiuliza na sipati majibu labda kama kuna mtu anaejua anisaidie
Hiyo siku ukiolewa either kwa waislamu au wakristu ni lazima mfanye tendo la ndoa yaani ni Sheria kuwa ni lazima mfanye au hakuna ulazima mtaamua wenyewe????
Mi naona hakuna haja ya honeymoon hapoHivi ikiangukia kwenye bleed hua honeymoon inaendeka kweli?
Sawalazima!!
Weee... yaani uninyime mbususu siku ya sikukuu..!!! WapiiiSiongelei honeymoon yote naongelea usiku mmoja ule wa ndoa
Sawa,sema na imagine siku ya harusi yako mwali akawa period sijui itakuwajeWeee... yaani uninyime mbususu siku ya sikukuu..!!! Wapiii