Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Habari za asubuhi?nadhani umeamka salama na unajiandaa kuelekea ktk ujenzi wa Taifa,nilikuwa nina swali ambalo lnahtaji majbu yenu.... Hivi utakapomfumania Mkeo/demu/mume/bwana wako live akiwa anashughulika/kakumbatiwa nini utakifanya ktk wakati mgumo huo?